- Thread starter
- #21
....umwambie usimwambie ipo siku ataharibu tu kama hujui namna ya kudeal naye. nashauri umuelimishe mume mtarajiwa ukichaa wa dadio na jiandae kupambana naye huku ukikaa naye mbali maana hujui kesho atakuja vipi period...!!
kiukweli inanibidi kufanya hivyo maana akijuaga habari zangu anakuwa kama kapandwa na mashetani anawehuka sana anaongea ovyo kwa sauti kubwa yaani pia tunahisi labda anatatizo lingine maana akimaliza kuniharibia ananuna hata miezi sita haniongeleshi, kiukweli niko kwenye wakati mgumu