Naombeni ushauri kuhusu kumuoa huyu binti

Naombeni ushauri kuhusu kumuoa huyu binti

Huyo ndie mke sahihi kwako, mm mwnyw mke niliyenaye sasa alikuwa hvy hvy ila baada ya ndoa tunaishi maisha ya haki na amani tele 😎
 
Na nikimsaidia kwa mfano hela ya vocha au 50,000 ananambia iyo hela sio hela hata, muuza vitumbua anaweza mpa demu wake. Vipi wakuu nioe hapa?
Umetutajia umri wako ila umri wake hujataja ukinitajia umri wake nitakupa ushauri wenye mashiko ila angalizo km amevuka miaka 21 narudia km amevuka miaka 21 na amefika au amevuka miaka 30 na anakupa hayo majibu jitafakari mara 4 kabla hujachukua hatua na maamuzi ya kumuoa... hapo hakuna mke
 
Nikishasikiaga demu katoka chuo na stim za mapenz hukata mda huohuo!, shida wanapenda kuishi maigizo ya kijinga kuliko uhalisia!, nilikuwaga na kichomi cha ivo nilipiga chini chap tu!, kile kilikuwa kinaenda kuniua kabisa nisingekuwepo mda huu, bora hawahawa wa lasaba B hawana mambo mengi.
Vipi wee mabinti zako baadae hapo hutawapeleka chuo?
Je ndugu zako wa kike nao wasiende chuo??
 
Demu wa chuo ni sawa na kumiliki gari BMW sensor kibao na usumbufu wa kila namna, wakati hawa wa kidato cha 4 au lasaba ni sawa na Toyota chuma ni kuteleza tu stress chache na linatunzika na kuvumilia mikikimikiki.
😂😂😂😂😂
 
Vipi wee mabinti zako baadae hapo hutawapeleka chuo?
Je ndugu zako wa kike nao wasiende chuo??
Chuo kinawaharibu wengi wachache wanapona ila wengi wanaharibika... mifano ni mingi ingawa sipingi mabinti kupelekwa Chuoni.. anaenda Chuo akiwa na bikra anarudi kapoteza bikra zote
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, nilikutana na Binti Mmoja tukiwa chuo, miaka ya nyuma kidogo.. nikawa na namba yake, lakini nilimtomgonza, miezi Sita iliyopita akakubali, na nikamwambia nataka kumuoa. Ila sasa toka kipindi icho amekuwa akinilazimisha niende kwao kutoa posa na mahari. Tunaishi mikoa tofauti..
Tukiwa tunakutana simu yake anaweka password, hataki niishike.

Kuna siku niliishika. Nikakuta meseji anachati na wanaume, wengine wanamwambia waonane anakubali, wengine anawabebisha anawaomba na hela. Na Kuna mwingine yupo mkoa Mmoja, huyu mwanamke wangu alikuwa anamwambia atasafiri kwenda huko, waonane.

Na nikimsaidia kwa mfano hela ya vocha au 50,000 ananambia iyo hela sio hela hata, muuza vitumbua anaweza mpa demu wake. Vipi wakuu nioe hapa?
Tena fanya haraka sana umuoe,huyo ndiye anayekufaa
 
Mkuu! Mti ukiwa polini wakataji au wanaozunguka kutaka kuukata huwa ni wengi! Lakini ukishaukata wewe,ukaupeleka nyumbani nadhani hakuna mtu mwingine atatamani aukate huo mti! Mti ukishaukata ukauweka nyumbani kwako,wewe utapanga uutumie kwa namna gani si ni wa kwako? Ukimchunguza sana bata hautamla! Wanawake wote wana tabia moja mkuu,utamuacha huyu utamfata yule nae utamuacha na utajikuta una age ya 50plus huna mke! Kupanga ni kuchagua ndugu yangu.
 
Chuo kinawaharibu wengi wachache wanapona ila wengi wanaharibika... mifano ni mingi ingawa sipingi mabinti kupelekwa Chuoni.. anaenda Chuo akiwa na bikra anarudi kapoteza bikra zote
Nini maana yake.
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, nilikutana na Binti Mmoja tukiwa chuo, miaka ya nyuma kidogo.. nikawa na namba yake, lakini nilimtomgonza, miezi Sita iliyopita akakubali, na nikamwambia nataka kumuoa. Ila sasa toka kipindi icho amekuwa akinilazimisha niende kwao kutoa posa na mahari. Tunaishi mikoa tofauti..
Tukiwa tunakutana simu yake anaweka password, hataki niishike.

Kuna siku niliishika. Nikakuta meseji anachati na wanaume, wengine wanamwambia waonane anakubali, wengine anawabebisha anawaomba na hela. Na Kuna mwingine yupo mkoa Mmoja, huyu mwanamke wangu alikuwa anamwambia atasafiri kwenda huko, waonane.

Na nikimsaidia kwa mfano hela ya vocha au 50,000 ananambia iyo hela sio hela hata, muuza vitumbua anaweza mpa demu wake. Vipi wakuu nioe hapa?
RUN.FOR.YOUR.LIFE.
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, nilikutana na Binti Mmoja tukiwa chuo, miaka ya nyuma kidogo.. nikawa na namba yake, lakini nilimtomgonza, miezi Sita iliyopita akakubali, na nikamwambia nataka kumuoa. Ila sasa toka kipindi icho amekuwa akinilazimisha niende kwao kutoa posa na mahari. Tunaishi mikoa tofauti..
Tukiwa tunakutana simu yake anaweka password, hataki niishike.

Kuna siku niliishika. Nikakuta meseji anachati na wanaume, wengine wanamwambia waonane anakubali, wengine anawabebisha anawaomba na hela. Na Kuna mwingine yupo mkoa Mmoja, huyu mwanamke wangu alikuwa anamwambia atasafiri kwenda huko, waonane.

Na nikimsaidia kwa mfano hela ya vocha au 50,000 ananambia iyo hela sio hela hata, muuza vitumbua anaweza mpa demu wake. Vipi wakuu nioe hapa?
Mdogo wangu sikia, huyu hakufai, anatamaa, japo anaweza kua kwenye stress za kuolewa so anategesha kwa kila anayemtongoza,il anakae muoa ndio ataulie, ila kwa kitendo cha kudharau hela yako, hapo ww kimbia mbio.
 
Back
Top Bottom