thanx mkuu,me niliisha amua kumpotezea siku nyingi.
duh...
ukisikia babu jinga ndo wewe....
umsome nini hapo tena
shukuru yameisha,move on...
au unataka uchunwe mpaka urithi ????
duh...
ukisikia babu jinga ndo wewe....
umsome nini hapo tena
shukuru yameisha,move on...
au unataka uchunwe mpaka urithi ????
Duuu.yaani SnowBall Mungu kanipa vidume 4 bora tu nivifundishe kurusha maji vibinti wanavyosoma navyo basi tu nijue moja manake wanaume wa siku hizi lol! bado tu kuwavesha shanga aisee. mimi klein wangu japo miaka 15 lakini anajua kumwaga swanga na kung'amua kama hapa ni changa la macho ama la. na sheria niliyompaa ni afadhali amtie mtu mimba kuliko nisikie kapigana na mwanaume mwenzie kisa mwanamke. yaani ikija kesi kammimba mtu kwangu poa ila eti kapigana kisa mwanamke yaani atachezea lupango sina mzaha katik hili.
wanawake wote hao halafu akapigane aisee atanikoma.