Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,208
- 42,068
Come down
kijana amependa na anapenda kuchunwa
pale kwenye mvuto pamefanya nikumbuke post ya jana ya mtambuzi
kijana amependa na anapenda kuchunwa
pale kwenye mvuto pamefanya nikumbuke post ya jana ya mtambuzi
khaaa! niambie tu kwamba wewe sio ndugu yangu manake real ningekutia mabao ya usoni. ushaambiwa kabisa kwamba hupendwi so what unataka nini tena? ama ndo uchunwe hadi urith kama alivyosema boss?
Last edited by a moderator: