mwamba_ngori
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 251
- 295
Jamani mimi ni mwanafunzi niliye hitimu kidato cha nne mwaka jana bahati nzuri nikafaulu kwa grade 2.18 na Nimechaguliwa kidato cha Tano.
Lakin wakuu nilikuw napenda sana nisome PCB lakin physics niliteleza nkapata "D" lakin Chemiry "C" na Biology "B" hivyo basi sikuchaguliwa hio PCB badala yake nimechaguliwa CBG; sasa najiuliza mtu akisoma CBG akafaul Vizur jeh!
Kuna kazi gan naweza kupata au ataenda kusomea nin chuon wakuu naombeni ushaur wengine wanasema CBG haina ajira hvyo nakata Tamaaa kabisa wakuu. Wengine wanasema bora niende chuo nkaone, isiwe tabu ngoja nisikie wana JF
Plz anayejua au aliyesoma hii comb anipe ushaur



Lakin wakuu nilikuw napenda sana nisome PCB lakin physics niliteleza nkapata "D" lakin Chemiry "C" na Biology "B" hivyo basi sikuchaguliwa hio PCB badala yake nimechaguliwa CBG; sasa najiuliza mtu akisoma CBG akafaul Vizur jeh!
Kuna kazi gan naweza kupata au ataenda kusomea nin chuon wakuu naombeni ushaur wengine wanasema CBG haina ajira hvyo nakata Tamaaa kabisa wakuu. Wengine wanasema bora niende chuo nkaone, isiwe tabu ngoja nisikie wana JF
Plz anayejua au aliyesoma hii comb anipe ushaur



