Naombeni ushauri kama nimetapeliwa au la

Naombeni ushauri kama nimetapeliwa au la

NAKUJIBU KAMA IFUATAVYO

Hiyo hela umetapeliwa kwa vigezo vifuatavyo

1: Hakuna uandikishaji wa kuruta kwa ajili ya depo mpya(kuna depo ipo inaendeshwa lakini ilishasajiliwa na watu walishapimwa, kukaguliwa vyeti na walishaanza mafunzo zaidi ya miezi miwili sasa)

2:Jwtz hawana utaratibu wa get pass ile sio shirika la mkonge askari wana vitambulisho na Kama ni msahiliwa huhitaji kitambulisho.

3: usahili wa jeshi haufanywi wala haujazishwi fomu ni vipimo vya Afya,utendaji wa mwili, vyeti,fomu watajaza wanaokufanyia usahili sio Wewe.

4:HAKUNA NJIA YA KUJIUNGA NA JESHI BILA KUFANYA MAFUNZO YAO, HAKUNA NA HAIJAWAHI KUTOKEA TANGU KUANZISHWA KWA JWTZ
Asante sana kwa maelezo mazuri
 
Hapo bado hujamalizana na hao maafande. Utaletewa mahitaji mpaka ujute kuwafahamu. Na kila muda watakushinikiza utume hela haraka ili hao wadogo zako wasije wakaondolewa kwenye hayo mafunzo.
Tena ,,nimepewa orodha ya mahitaji,,ni zaidi ya hatari,,,dahhhh
 
Back
Top Bottom