Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
mama wa nyumbani, aamke asubuhi asafishe nyumba, afue, aandae chai, akatafute mboga sokoni, apike chakula cha mchana, aoshe vyombo, apike chakula cha usiku (hapo tunaasume hana watoto)......................... bado ukirudi dume zima unataka kubembelezwa sijui kuliwazwa. hebu msichoshe wake zenu huko. wewe ofisini una kazi ya kubofya bofya computer tu. angalia hapo nani kachoka? wanaume wote wenye wake mama wa nyumbani mkirudi nyie ndio muwaliwaze wake zenu. kazi za nyumbani zinachoshaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!