Only selected will be conducted..ukiona kimya ujue mzee haupo..!pole sn
utumishi
Utumishi wanafanya recruitment kwa ajili ya nafasi mbali mbali serikalini. Wewe ulikuwa kwa ajili ya hapo hapo utumishi ama kw ajili ya nafasi zipi?
Hivi Afisa Mtendaji huwa pia kuna interview I thought vile vyeo ni vya makada wa CCM...