Nini hubadilisha DNA za Msukule?

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,172
9,398
Naandika Kwa uzoefu wa mashauri mawili yaliyotokea katika Mikoa miwili Kwa nyakati tofauti.

Katika tukio la kwanza Kuna mtoto alifariki akazikwa .Baada ya miaka 2 mtoto huyo alionekana mbali na Mkoa aliofia akidhurura mitaani.

Baadaye ndugu wakajitokeza kudai kuwa huyo ni mtoto wao! Walionesha ushahidi wa kimaumbile,kudhirisha kuwa ni mtoto wao! Hata ndugu majirani, watoto wenzake walimtambua kuwa ndiye yule aliyefariki na kuzikwa!

Ili kujiridhisha Serikali iliamua kupima DNA matokeo ya vipimo hivyo yalikataa kuwa wazazi hao waliojitokeza hawana Uhusiano na mtoto aliyeokotwa!

Shauri la pili linafanana na hili kwanza Mtu alikufa, akazikwa baada ya miaka kadhaa akaonekana akiwa hai hajitambui kidogo.

Watu wakamtambua, wakaitwa ndugu zake wakathibitisha kuwa huyo ni mtoto/ndugu yao wakaainisha Kwa kufanana, alama zake mwilini na mambo kadhaa! Kwa kuwa huyu alikuwa ni mtu mzima hata jina lake aliweza kulitaja na sehemu alilokuwa anaishi.

Kama kawaida Ili kujiridhisha Serikali iliamua kupima DNA Matokeo yakaonesha kuwa wazazi hao waliojitokeza hawana Uhusiano na msukule huyo!

Nawasilisha kwenu Wataalam mdadavue hii inatokeaje?

Nimeandika Kwa kifupi na kupunguza maelezo Kwa sababu Maalum!

Kama huamini uwepo wa uchawi, misukuke nk hapa Si mahali pako!
 
Misukule hufanyiwa mabadiliko katika ufahamu wao ili wawe kama wanyama tu na waweze kutumika katika makusudio mbalimbali.

Mabadiliko haya sio ya vibasaba (DNA) bali ya kiufahamu tu.

Inapotokea vipimo vya dna havioneshi kushabihiana na ndugu za mhusika ni kwa sababu moja; hila za ulimwengu wa giza kuficha id ya mhusika.
 
Wachawi wanaweza yafuatayo ( baadhi ya matukio yaliyotolewa ushuhuda)

1.Kwenye chumba cha upasuaji akaingia na yeye mtoto aliyetolewa tumboni wanamchukua halafu mama anaachiwa mbadala.

2.Kwenye chumba cha upasuaji daktari wa upasuaji akili yake ikachezewa badala ya kupasua mguu akapasua kichwa, Vile visu na mikasi huwa mnasikia vimesahaulika kwenye tumbo la mgonjwa huwa siyo matukio ya kawaida.

3.Mtihani wa mwanafunzi kupotea, hivyo anafeli, huwa wanatumwa majini kuingia maofisini wanaiba au wanabadilisha.

4.Kuiba document fulani muhimu ambayo lazima itakwamisha jambo fulani kubwa la victim wao.

Je wakiamua kucheza na majibu ya DNA ili kuficha uhalisia wa tukio lao watashindwa?maana huwa hawataki kabisa kuumbuka.
NB: Kuna madaktari wachawi pia hufanya kazi kwa karibu sana na wachawi wenzao.
 
S NH
Wachawi wanaweza yafuatay( baadhi ya matukio yaliyotolewa ushuhuda)
1.Kwenye chumba cha upasuaji akaingia na yeye mtoto aliyetolewa tumboni wanamchukua halafu mama anaachiwa mbadala.
2.Kwenye chumba cha upasuaji daktari wa upasuaji akili yake ikachezewa badala ya kupasua mguu akapasua kichwa, Vile visu na mikasi huwa mnasikia vimesahaulika kwenye tumbo la mgonjwa huwa siyo matukio ya kawaida.
3.Mtihani wa mwanafunzi kupotea, hivyo anafeli, huwa wanatumwa majini kuingia maofisini wanaiba au wanabafilisha.
4.Kuiba document fulani muhimu ambayo lazima itakwamisha jambo fulani kubwa la victim wao.

Je wakiamua kucheza na majibu ya DNA ili kuficha uhalisia wa tukio lao watashindwa?maana huwa hawataki kabisa kuumbuka.
NB: Kuna madaktari wachawi pia hufanya kazi kwa karibu sana na wachawi wenzao amb
 
Wachawi wanaweza yafuatayo ( baadhi ya matukio yaliyotolewa ushuhuda)
1.Kwenye chumba cha upasuaji akaingia na yeye mtoto aliyetolewa tumboni wanamchukua halafu mama anaachiwa mbadala.
2.Kwenye chumba cha upasuaji daktari wa upasuaji akili yake ikachezewa badala ya kupasua mguu akapasua kichwa, Vile visu na mikasi huwa mnasikia vimesahaulika kwenye tumbo la mgonjwa huwa siyo matukio ya kawaida.
3.Mtihani wa mwanafunzi kupotea, hivyo anafeli, huwa wanatumwa majini kuingia maofisini wanaiba au wanabafilisha.
4.Kuiba document fulani muhimu ambayo lazima itakwamisha jambo fulani kubwa la victim wao.

Je wakiamua kucheza na majibu ya DNA ili kuficha uhalisia wa tukio lao watashindwa?maana huwa hawataki kabisa kuumbuka.
NB: Kuna madaktari wachawi pia hufanya kazi kwa karibu sana na wachawi wenzao ambao.
Kwa mifano niliyoitoa sidhani kama snerio kama hiyo ingetokea!
 
Naandika Kwa uzoefu wa mashauri mawili yaliyotokea katika Mikoa miwili Kwa nyakati tofauti.
Katika tukio la kwanza Kuna mtoto alifariki akazikwa .Baada ya miaka 2 mtoto huyo alionekana mbali na Mkoa aliofia akidhurura mitaani!
Baadaye ndugu wakajitokeza kudai kuwa huyo ni mtoto wao! Walionesha ushahidi wa kimaumbile,kudhirisha kuwa ni mtoto wao! Hata ndugu majirani, watoto wenzake walimtambua kuwa ndiye yule aliyefariki na kuzikwa!
Ili kujiridhisha Serikali iliamua kupima DNA .Matokeo ya vipimo hivyo yalikataa kuwa wazazi hao waliojitokeza hawana Uhusiano na mtoto aliyeokotwa!
Shauri la.pili linafanana na hili.kwanza ! Mtu alikufa ,akazikwa baada ya miaka kadhaa akaonekana akiwa hai hajitambui kidogo!
Watu wakamtambua ,wakaitwa ndugu zake wakathibitisha kuwa huyo ni mtoto/ndugu yao wakaainisha Kwa kufanana,alama zake mwilini na mambo kadhaa! Kwa kuwa huyu alikuwa ni mtu mzima hata jina lake aliweza kulitaja na sehemu alilokuwa anaishi!
Kama kawaida Ili kujiridhisha Serikali iliamua kupima DNA .Matokeo yakaonesha kuwa wazazi hao waliojitokeza hawana Uhusiano na msukule huyo!
Nawasilisha kwenu Wataalam mdadavue hii inatokeaje?!
Nimeandika Kwa kifupi na kupunguza maelezo Kwa sababu Maalum!
Kama huamini uwepo wa uchawi,misukuke nk hapa Si mahali pako!
Habari!

Bado kuna theory nyingi sana, kwa misingi unayoizungumzia hiyo ni moja tu kati ya hizo. Unahitajika utafiti wa kuwahusisha wahusika kujua nini hasa hufanyika. Kwa imani husika.

1: Mtoto mchanga huweza kunadilishwa dhidi ya wazazi wake kwa bahati mbaya au makusidi. Na huweza kukua ndani ya jamii husika.

2: Hiyo ya kwako

3: Kama wameweza kumbadilisha na asionekane kwa watu, basi ni rahisi pia kubadili utendaji kazi wa vifaa. Vinavyopima hiyo DNA. Unaweza pia kuwa msingi wa magonjwa ya pepo na wachawi.

4: Mwonekano wa majibu kubadilishwaili uendane na watakavyo wao. Unaweza pia kuwa msingi wa magonjwa ya pepo na wachawi.

5: Kudili na akili ya msomaji ili kusoma kwa kadri yao. Unaweza pia kuwa msingi wa magonjwa ya pepo na wachawi.

NB: Lakini pia zoezi husika baada ya ufatiliaji wa karibu, kuna sehemu huonekana ni makosa kwenye utambuzi wa maiti.

Labda, maiti iliharibika sana au walioenda kutambua maiti kufanya makosa. Wakati mhusika anajulikana kuwa sehemu ya tukio la kifo kumbe haikuwa hivyo.
 
Wachawi wanaweza yafuatayo ( baadhi ya matukio yaliyotolewa ushuhuda)
1.Kwenye chumba cha upasuaji akaingia na yeye mtoto aliyetolewa tumboni wanamchukua halafu mama anaachiwa mbadala.
2.Kwenye chumba cha upasuaji daktari wa upasuaji akili yake ikachezewa badala ya kupasua mguu akapasua kichwa, Vile visu na mikasi huwa mnasikia vimesahaulika kwenye tumbo la mgonjwa huwa siyo matukio ya kawaida.
3.Mtihani wa mwanafunzi kupotea, hivyo anafeli, huwa wanatumwa majini kuingia maofisini wanaiba au wanabadilisha.
4.Kuiba document fulani muhimu ambayo lazima itakwamisha jambo fulani kubwa la victim wao.

Je wakiamua kucheza na majibu ya DNA ili kuficha uhalisia wa tukio lao watashindwa?maana huwa hawataki kabisa kuumbuka.
NB: Kuna madaktari wachawi pia hufanya kazi kwa karibu sana na wachawi wenzao.
Mwenye uelewa ataelewa ....umeongea sahihi mkuu
 
Kwanza nikutoe zana potofu. Huyokea watu kufanana bila udugu wowote na ukiwaona utazani pacha. Niliwahi ona dada mmoja nimemuacha kijijini nilipofikia naenda kijiji cha mbele namkuta copy kabisa. Nikamsemesha akanikaushia badae narudi kujijini namuita namwambia tumeonana anashangaa. Baada ya wiki nikatengeneza mazingira nikaenda nae kule alipomuona akaenda kumuuliza mama ake kama alizaa pacha akamtypa mmoja au aliibiwa hospitali mama ake akafatilia mpaka ile familia akakuta yule dada ana wadogo zake wengine anafanana nao kuonesha ni wa pale hajaokotwa wala kuibwa. Walipiga mastori ya koo zao lakini hakutokea common ancestor. Kiufupi wale watu walifanana na kama ingetokea mmoja kafariki lazima badae wangesema kaonekana kijiji jirani.
 
Mkuu hii zi zana potofu...watu hufana ,ni kweli ila wafanane na makovu ya ajali,wafanane na jina,hadi Kijiji walichozaliwa..that is just next to impossible!
Kwanza nikutoe zana potofu. Huyokea watu kufanana bila udugu wowote na ukiwaona utazani pacha. Niliwahi ona dada mmoja nimemuacha kijijini nilipofikia naenda kijiji cha mbele namkuta copy kabisa. Nikamsemesha akanikaushia badae narudi kujijini namuita namwambia tumeonana anashangaa. Baada ya wiki nikatengeneza mazingira nikaenda nae kule alipomuona akaenda kumuuliza mama ake kama alizaa pacha akamtypa mmoja au aliibiwa hospitali mama ake akafatilia mpaka ile familia akakuta yule dada ana wadogo zake wengine anafanana nao kuonesha ni wa pale hajaokotwa wala kuibwa. Walipiga mastori ya koo zao lakini hakutokea common ancestor. Kiufupi wale watu walifanana na kama ingetokea mmoja kafariki lazima badae wangesema kaonekana kijiji jirani.
 
Wachawi wanaweza yafuatayo ( baadhi ya matukio yaliyotolewa ushuhuda)
1.Kwenye chumba cha upasuaji akaingia na yeye mtoto aliyetolewa tumboni wanamchukua halafu mama anaachiwa mbadala.
2.Kwenye chumba cha upasuaji daktari wa upasuaji akili yake ikachezewa badala ya kupasua mguu akapasua kichwa, Vile visu na mikasi huwa mnasikia vimesahaulika kwenye tumbo la mgonjwa huwa siyo matukio ya kawaida.
3.Mtihani wa mwanafunzi kupotea, hivyo anafeli, huwa wanatumwa majini kuingia maofisini wanaiba au wanabadilisha.
4.Kuiba document fulani muhimu ambayo lazima itakwamisha jambo fulani kubwa la victim wao.

Je wakiamua kucheza na majibu ya DNA ili kuficha uhalisia wa tukio lao watashindwa?maana huwa hawataki kabisa kuumbuka.
NB: Kuna madaktari wachawi pia hufanya kazi kwa karibu sana na wachawi wenzao.
Wakaibe na benki mchawi WA namna hiyo ndio na uhitaji achana na hawa wanywa uji wa chumvi asubuhi
 
DNA kamwe haiwezi kinzana na Death certificate ya Serikali iliyo kisayansi,

Na Kwa kuwa Serikali haiamini ,uchawi,au kufufuka baada ya kufa,

Lazima DNA iwe tofauti hata kama ni Kweli.
 
DNA kamwe haiwezi kinzana na Death certificate ya Serikali iliyo kisayansi,

Na Kwa kuwa Serikali haiamini ,uchawi,au kufufuka baada ya kufa,

Lazima DNA iwe tofauti hata kama ni Kweli.
Imani Ndio ibadilishe vinasaba!?
 
Imani Ndio ibadilishe vinasaba!?
Ndio,

Matokeo ya DNA yanaweza kubadilishwa ikiwa Nia ya mwombaji wa DNA atatafsiriwa ana Nia ovu, kumuua mke au mtoto, au mume akipata uhakika wa anachokitaka.

Wengi sana wamepewa matokeo tofauti, Kwa Nia njema.

Mume ndani ya NDOA, akistuka na kwenda kudai DNA, daktati Kwa saikolojia na mahojiano, akajua, mume huyo aweza ua mtoto ikiwa atagundua Si wake.

Ni halali kabisa kubadili matokeo ya DNA.

Wenye AKILI wameelewa.
 
Imani Ndio ibadilishe vinasaba!?
Kwamba mtu athibitishwe kafa, daktari aandike death certificate,

Kesho aje na kusema hakufa ,ndugu wapime DNA zisomane?

DNA zikisomana, sayansi itabatilika, hivyo, kamwe lazima wabadili matokeo, hata kama yawe ya Kweli.
 
Back
Top Bottom