tumekusikia. uache kuponda thread za wenzio.
Khaaa ! What this
Nimekusamehe ila usiingilie threads zangu nitakazopost
Ni uamuzi wa busara mkuu,hapa ni free stress zoneAsanteni sn mlionisamehe, excellent, slave, manyaya n.k. Jakumbumba yeye naona hataki kunisamehe ngoja nimpm anipe namba yake niongee naye live. Lkn ajue usiposamehe na wewe hutasamehewa.
mie sijamsikia hata kidogo, nitakula nae sahani moja mpaka mwishoni wa jf. Anaamka asubuhi asubuhi kuniharibia siku yangu Bure na elimu za milembe. Akitaka nimsamehe arudishe hicho cheti cha mwarobaini. Ngumi ngumi tu hapa msamaha ujinga.
du una maneno ya ki-taarabuwewe kama hutaki kunisamehe achana na mimi, jua yako na mimi nijue yangu na tena unikome kabisa
Sasa kule juu umesema nn na hapa unafanya nn? Ama ww kweli wa kuharawewe kama hutaki kunisamehe achana na mimi, jua yako na mimi nijue yangu na tena unikome kabisa