H Halifa Rama New Member Jan 13, 2012 3 0 Jan 13, 2012 #1 Ninatatizo la kukosa choo jamani nikienda haja najisaidia kinyesi kama cha mbuzi wakati mi ni binadamu naombeni ushauli.
Ninatatizo la kukosa choo jamani nikienda haja najisaidia kinyesi kama cha mbuzi wakati mi ni binadamu naombeni ushauli.
Kabakabana JF-Expert Member Aug 5, 2011 5,551 1,158 Jan 13, 2012 #3 Hauko jukwaa husika,nenda jf doctor.