naombeni msaada

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
wapendwa wa jukwaa hili nawatakia HERI YA MWAKA MPYA.

Kuna kitu nataka kudowmload ktk laptop yangu lakini naambiwa hadi niwe na windows 7,vista,or xpl.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,mim sina utaalamu sana na haya mambo,hivyo hata sijui kama laptop yangu inayo au haina,na kama haina nifanyaje niwe na mojawapo ya kati ya windows 7,vista or xpl.
Atakae nicheka kwa ushamba wangu mwaka atauanza kwa Nuksi,,,,natania.

Natanguliza shukrani kwa atakayejitolea kunisaidia.
 
Cheusi mangala Heri ya 2012

kitu gani hicho unadowload?

Unaweza kudownload(Kupakua) kitu chochote kwa OS yeyote(XP. VIsta, Windows 7. MAc , Ubuntu, etc ). Kwa hiyo kama kweli ni kudowlaod hautakiwi kupata kikwazo.

Kwa hiyo weka maelezo yao sawa unataka kudowload au unataka kuinstall (Kusimika) Sofware kwenye computer yako.

waambie wataalam

  • unachotaka kudownload ( wimbo, file, movie, etc)
  • na unakidonlowd kutoka link (kiunganisho ) gani
 
Cheusi mangala Heri ya 2012

kitu gani hicho unadowload?

Unaweza kudownload(Kupakua) kitu chochote kwa OS yeyote(XP. VIsta, Windows 7. MAc , Ubuntu, etc ). Kwa hiyo kama kweli ni kudowlaod hautakiwi kupata kikwazo.

Kwa hiyo weka maelezo yao sawa unataka kudowload au unataka kuinstall (Kusimika) Sofware kwenye computer yako.

waambie wataalam

  • unachotaka kudownload ( wimbo, file, movie, etc)
  • na unakidonlowd kutoka link (kiunganisho ) gani

Kuna baadhi ya vi2 ukitaka kudownload inakuambia mpaka uwe na os ya vista,7 e.g window explorer 8 mi iliniandikia mpaka niwe na hizo windows...2tajie hicho ki2 unachotaka kudownload then u2wekee specification ya laptop yako e.g Ram ukubwa gani?Processor speed ngapi,hard disk ukubwa gani? Ili 2kusaidie kama inauwezo wa kuweka hizo Os au la.
 
wapendwa wa jukwaa hili nawatakia HERI YA MWAKA MPYA. Kuna kitu nataka kudowmload ktk laptop yangu lakini naambiwa hadi niwe na windows 7,vista,or xpl. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,mim sina utaalamu sana na haya mambo,hivyo hata sijui kama laptop yangu inayo au haina,
Sio mtaalamu jamani
Kuna baadhi ya vi2 ukitaka kudownload inakuambia mpaka uwe na os ya vista,7 e.g window explorer 8 mi iliniandikia mpaka niwe na hizo windows...2tajie hicho ki2 unachotaka kudownload then u2wekee specification ya laptop yako e.g Ram ukubwa gani?Processor speed ngapi,hard disk ukubwa gani? Ili 2kusaidie kama inauwezo wa kuweka hizo Os au la.
Specification atazionaje, tumsaidie kwanza ajue kama anatumia OS gani, kisha tumuelekeze jinsi ya kuona hizo specifications
 
Cheusi mangala Heri ya 2012

kitu gani hicho unadowload?

Unaweza kudownload(Kupakua) kitu chochote kwa OS yeyote(XP. VIsta, Windows 7. MAc , Ubuntu, etc ). Kwa hiyo kama kweli ni kudowlaod hautakiwi kupata kikwazo.

Kwa hiyo weka maelezo yao sawa unataka kudowload au unataka kuinstall (Kusimika) Sofware kwenye computer yako.

waambie wataalam

  • unachotaka kudownload ( wimbo, file, movie, etc)
  • na unakidonlowd kutoka link (kiunganisho ) gani

Asante,heri ya mwaka mpya kwako pia.
mpendwa wangu nashukuru ila kuna mtu tayari ameshanisaidia,ila sio kweli kuwa kuwa kila OS inaweza kudownload kila kitu,mfano kitu nilitaka kudownload ilikua inataka lazima niwe japo na windows 7,vista or explorer,then nilitakiwa niwe na something i dont know 32 - 62 bits nadhani.

Narudia tena,asante kwa nia ya kutaka kunisaidia,Ubarikiwe.
 
Kujua ni Windows gani unatumia, Right Click "My Computer" Kibox kitakachotokea Shuka chini Click "Properties" halafu soma maandishi yanayotokea upande wa kulia, anza hapo palipoandikwa "System"

Ukishajua wakati unadownload unamalizia unachokidownload kwa kuweka neno "for Windows....(unayoitumia)..."
 
Kuna baadhi ya vi2 ukitaka kudownload inakuambia mpaka uwe na os ya vista,7 e.g window explorer 8 mi iliniandikia mpaka niwe na hizo windows...2tajie hicho ki2 unachotaka kudownload then u2wekee specification ya laptop yako e.g Ram ukubwa gani?Processor speed ngapi,hard disk ukubwa gani? Ili 2kusaidie kama inauwezo wa kuweka hizo Os au la.

ni kweli hata hicho kitu nataka kudownload lazima hakikubali kwenye mozila fire foxy.
Hiyo OS nishabadilisha na nimeshadownload nilichokua nataka,ila nafanyaje ili nijue Processor speed ngapi,hard disk ukubwa gani?
 
ni kweli hata hicho kitu nataka kudownload lazima hakikubali kwenye mozila fire foxy.
Hiyo OS nishabadilisha na nimeshadownload nilichokua nataka,ila nafanyaje ili nijue Processor speed ngapi,hard disk ukubwa gani?
Right Click my computer utapata halafu select properties utafata system inf zote
Pia uki right click my computer then uselect Explore itakuonyesha hard drivers na size zote
 
Back
Top Bottom