cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
wapendwa wa jukwaa hili nawatakia HERI YA MWAKA MPYA.
Kuna kitu nataka kudowmload ktk laptop yangu lakini naambiwa hadi niwe na windows 7,vista,or xpl.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,mim sina utaalamu sana na haya mambo,hivyo hata sijui kama laptop yangu inayo au haina,na kama haina nifanyaje niwe na mojawapo ya kati ya windows 7,vista or xpl.
Atakae nicheka kwa ushamba wangu mwaka atauanza kwa Nuksi,,,,natania.
Natanguliza shukrani kwa atakayejitolea kunisaidia.
Kuna kitu nataka kudowmload ktk laptop yangu lakini naambiwa hadi niwe na windows 7,vista,or xpl.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu,mim sina utaalamu sana na haya mambo,hivyo hata sijui kama laptop yangu inayo au haina,na kama haina nifanyaje niwe na mojawapo ya kati ya windows 7,vista or xpl.
Atakae nicheka kwa ushamba wangu mwaka atauanza kwa Nuksi,,,,natania.
Natanguliza shukrani kwa atakayejitolea kunisaidia.