Naombeni msaada wa mawazo au ushauri kuhusu Tablet PC

Michael Amon

JF-Expert Member
Dec 22, 2008
8,775
3,610
Habari yenu members wote wa jamii forums. Ninaomba msaada wenu wa mawazo au kuhusu tablet PC. Mimi na kampuni yangu ya Young Master Supplies and General Enterprises tuna mpango wa kuleta Tablet PC's na kuziuza hapa Tanzania kwa bei nafuu kabisa kama hiyo hapo inayoonekana hapo chini.
71jAp4Li-KL._AA1500_.jpg

Ila tatizo sina uhakika kama zina soko hapa Tanzania. Ninaomba kama kuna mtu yoyote mwenye ufahamu zaidi kuhusu hizi Tablet PC aniambie kama zina soko hapa Tanzania au la ili nisije nikaleta zikashidwa kuuzika na matokeo yake nikapata hasara. Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote ambaye atajitolea kunisaidia katika hili.

Pia unaweza kutoa maoni yako, mawazo au ushauri kupitia anwani zetu hapa chini
Mobile: +255789 884 221
E-mail: youngmasterent@gmail.com
 
ungeweka specification ya hizo tablet PC unazotegemea kuzileta na price afu tuone km ni affordable!
 
ungeweka specification ya hizo tablet PC unazotegemea kuzileta na price afu tuone km ni affordable!

Samahani mkuu. hapa siongelei kuhusu swala la kuuza ila ninaongelea kuhusu swala la soko. Nauliza kama zina soko hapa Tanzania au la.
 
Samahani mkuu. hapa siongelei kuhusu swala la kuuza ila ninaongelea kuhusu swala la soko. Nauliza kama zina soko hapa Tanzania au la.

Hivi SOKO na KUUZA tofauti yake nini? Kitu chenye soko manake ni kwamba kinauzika bro. Weka specs, brand, initial pricing n.k. then tukwambie

Kama hutaki kuuza unataka soko la nini?
 
Hivi SOKO na KUUZA tofauti yake nini? Kitu chenye soko manake ni kwamba kinauzika bro. Weka specs, brand, initial pricing n.k. then tukwambie

Kama hutaki kuuza unataka soko la nini?

Nadhani kaka haujanielewa. Mimi bado siajaanza kuuza hizo Tablet PC ila nina mpango wa kuuza. Ila kabla sijaanza kuziuza nilikuwa nauliza wadau kama zina soko hapa Tanzania kwa maana ya kwamba kama zinauzika au la.
 
Nadhani kaka haujanielewa. Mimi bado siajaanza kuuza hizo Tablet PC ila nina mpango wa kuuza. Ila kabla sijaanza kuziuza nilikuwa nauliza wadau kama zina soko hapa Tanzania kwa maana ya kwamba kama zinauzika au la.

Young Master
Katika moja ya vigezo vya kujua kama soko lipo ama la ni specs za hizo tablet zako
kumbuka siku hizi dunia ni kijiji na tz tablets zipo za samsung kama aina mbili ,ZTE na ipad 1&2
hivyo funguka waeza pata wateja humuhumu
 

Young Master
Katika moja ya vigezo vya kujua kama soko lipo ama la ni specs za hizo tablet zako
kumbuka siku hizi dunia ni kijiji na tz tablets zipo za samsung kama aina mbili ,ZTE na ipad 1&2
hivyo funguka waeza pata wateja humuhumu

Nimekuelewa mkuu kwani wewe unadhani ni Tablet PC zipi zinauzika hapa Tanzania kutokana na uzoefu wako katikati ya Tablet PC za kawaida na ipad? na Tablet Specification gani ambazo wewe unadhani zitawafaa watanzania?
 
Samahani mkuu. hapa siongelei kuhusu swala la kuuza ila ninaongelea kuhusu swala la soko. Nauliza kama zina soko hapa Tanzania au la.


Tablets PC kama bidhaa zingine inanunuliwa kwa kuthaminisha ubora na uwezo.

Hata vitumbua na maandazi huwa tunaangalia mpishi kuepuka kulishwa vitu visivyofaa! Otherwise jipange upya ulete uzi uliosheheni marketing strategies!

Karibu tena!
 
Habari yenu members wote wa jamii forums. Ninaomba msaada wenu wa mawazo au kuhusu tablet PC. Mimi na kampuni yangu ya Young Master Supplies and General Enterprises tuna mpango wa kuleta Tablet PC's na kuziuza hapa Tanzania kwa bei nafuu kabisa kama hiyo hapo inayoonekana hapo chini.
View attachment 44603

Ila tatizo sina uhakika kama zina soko hapa Tanzania. Ninaomba kama kuna mtu yoyote mwenye ufahamu zaidi kuhusu hizi Tablet PC aniambie kama zina soko hapa Tanzania au la ili nisije nikaleta zikashidwa kuuzika na matokeo yake nikapata hasara. Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote ambaye atajitolea kunisaidia katika hili.

Pia unaweza kutoa maoni yako, mawazo au ushauri kupitia anwani zetu hapa chini
Mobile: +255789 884 221
E-mail: youngmasterent@gmail.com

Young Master,
Kwa haraka haraka sana....soko liko wazi sana na brand zinazofanya vizuri sana kwa sasa ni ipad2,samsung na ZTE.

Sasa kazi kwako kama utaleta hizo upambane na bei za sokoni,ipad2 1.5m,samsung 1m na ZTE laki 8.

Pia angalizo makampuni yote ya simu nao wanaziuza kwa wateja wa kulipia mwisho wa mwezi....kwa hiyo soko ni pana na ushindani pia mkali!!
 
Young Master,
Kwa haraka haraka sana....soko liko wazi sana na brand zinazofanya vizuri sana kwa sasa ni ipad2,samsung na ZTE.

Sasa kazi kwako kama utaleta hizo upambane na bei za sokoni,ipad2 1.5m,samsung 1m na ZTE laki 8.

Pia angalizo makampuni yote ya simu nao wanaziuza kwa wateja wa kulipia mwisho wa mwezi....kwa hiyo soko ni pana na ushindani pia mkali!!

Asante sana kwa ushauri wako mkuu. Nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom