Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Habari yenu members wote wa jamii forums. Ninaomba msaada wenu wa mawazo au kuhusu tablet PC. Mimi na kampuni yangu ya Young Master Supplies and General Enterprises tuna mpango wa kuleta Tablet PC's na kuziuza hapa Tanzania kwa bei nafuu kabisa kama hiyo hapo inayoonekana hapo chini.
Ila tatizo sina uhakika kama zina soko hapa Tanzania. Ninaomba kama kuna mtu yoyote mwenye ufahamu zaidi kuhusu hizi Tablet PC aniambie kama zina soko hapa Tanzania au la ili nisije nikaleta zikashidwa kuuzika na matokeo yake nikapata hasara. Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote ambaye atajitolea kunisaidia katika hili.
Pia unaweza kutoa maoni yako, mawazo au ushauri kupitia anwani zetu hapa chini
Mobile: +255789 884 221
E-mail: youngmasterent@gmail.com
Ila tatizo sina uhakika kama zina soko hapa Tanzania. Ninaomba kama kuna mtu yoyote mwenye ufahamu zaidi kuhusu hizi Tablet PC aniambie kama zina soko hapa Tanzania au la ili nisije nikaleta zikashidwa kuuzika na matokeo yake nikapata hasara. Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote ambaye atajitolea kunisaidia katika hili.
Pia unaweza kutoa maoni yako, mawazo au ushauri kupitia anwani zetu hapa chini
Mobile: +255789 884 221
E-mail: youngmasterent@gmail.com