GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,551
- 108,885
" Ni Jukumu la Mwanaume kumlea na Kumuhudumia Mwanamke / Mpenziwe kwa kila Kitu na ni mwiko kwa Mwanamke kutoa Pesa yake akiwa na Mumewe kwa chochote au lolote lile kwani Mwanaume ndiyo kila Kitu "
Naombeni Kifungu kinachohalalisha hii Kauli kutoka katika Katiba ya Tanzania na Vitabu Vitakatifu vya Biblia na Quran.
Nawasilisha.
Naombeni Kifungu kinachohalalisha hii Kauli kutoka katika Katiba ya Tanzania na Vitabu Vitakatifu vya Biblia na Quran.
Nawasilisha.