Ndio mkuu!
Ya kutuma ama kulipia unaweza kufungua vipi ?Ya kupokea pesa ni mtihani kwa hapa bongo, mpaka upate laini ya safaricom
Mpaka uwe na laini ya Safaricom Kenya mkuu, jamaa kakuelekeza vizuri kwenye comment ya hapo juu. Kama una laini ya Safaricom hakikisha una rafiki Yako yeyote unayemwamini ambaye Yupo Kenya mwambie akufungulie Account huko alafu akupe login credentials, na mambo mengine jinsi ya kukutumia pesa zako zikiingia kwenye Account mtaelekezana.Ya kutuma ama kulipia unaweza kufungua vipi ?
Kwa nini huyu mbwa Ndugulile hashughurikii hiliPayPal ya Tanzania unaweza kuitumia kununua bidhaa mtandaoni, ila haiwezi kupokea pesa.
Una register tu kwenye PayPal.comYa kutuma ama kulipia unaweza kufungua vipi ?
Hata hiyo ya Kenya ukiahapokea payment tu PayPal wana block account yako wakitaka uthibitishe biashara unayofanya, national ID, na uthibitisho wa makaziMpaka uwe na laini ya Safaricom Kenya mkuu, jamaa kakuelekeza vizuri kwenye comment ya hapo juu. Kama una laini ya Safaricom hakikisha una rafiki Yako yeyote unayemwamini ambaye Yupo Kenya mwambie akufungulie Account huko alafu akupe login credentials, na mambo mengine jinsi ya kukutumia pesa zako zikiingia kwenye Account mtaelekezana.
PayPal ya Tanzania unaweza kuitumia kununua bidhaa mtandaoni, ila haiwezi kupokea pesa.
Nahitajika niwe na nini ili nijisajili mkuu.Una register tu kwenye PayPal.com
Hata hiyo ya Kenya ukiahapokea payment tu PayPal wana block account yako wakitaka uthibitishe biashara unayofanya, national ID, na uthibitisho wa makazi
Wanataka kila kitu mama awaambie. Mtu atajiajirije mitandaoni kwa mazingira kama haya?Kwa nini huyu mbwa Ndugulile hashughurikii hili