IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Mkuu hebu tushee uzoefu angetakiwa kufanyaje labda?Mgonjwa wa Corona ni rahisi sana kupona kabla hajafikia hiyo stage ya kuwekewa oxygen.Kwa nini umekaa kimya hadi amewekewa oxygen halafu ndiyo unataka ushauri?Ingekuwa alikuwa bado hajawekewa oxygen ningekuambia cha kufanya.