Kidume cha mbegu
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 1,251
- 709
Mimi ni kijana tuu nafanya kazi nzuri tuu na vitega uchumi tu vya kutosha ,,,elimu yangu saizi ni master ,ila Nina degree kutoka mzumbe,,na nikasoma school of law na saizi ni master yangu tatizo kila nikimpenda demu mzuri anazinguwaa ila haya mademu wabaya aiiiseee wananipenda sana hadi najuta,,,,,
Sasa nauliza kwanini Mimi nipendwe na vidada/wanawake wabaya wabaya tuu aiiiseee hivi tatizo ni nini?
Sasa nauliza kwanini Mimi nipendwe na vidada/wanawake wabaya wabaya tuu aiiiseee hivi tatizo ni nini?