Naombeni msaada nimetapeliwa


Huu uzi unachekesha sana jamani!! Toka jana sijacheka ila kwa comment hiziii Daaahhh!!!!
 
Ukute na hicho kitambi kakitapeli
 
Mtaniua byie
 

JF ni shida jamani, mwenzenu anaomba msaada nyie mmemdaka juu kwa juu kwa majibu ya kuvunja mbavu yasiyo na msaada

Hakii nimecheka si kwa hayo majibu

Mwenzetu atakuwa kwenye shock, usawa huu kuuziwa gari hewa ni majanga ujue!
Mshana Jr waeleweshe wadau ilikuwaje watoe mawazo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…