Naombeni msaada nimetapeliwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi unachekesha sana jamani!! Toka jana sijacheka ila kwa comment hiziii Daaahhh!!!!
 
Hahahaaa...

Daah..! Ila inatia huruma

Kutapeli enzi kama hizi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi unachekesha sana jamani!! Toka jana sijacheka ila kwa comment hiziii Daaahhh!!!!
 
Ukute na hicho kitambi kakitapeli
 
Mtaniua byie[emoji28][emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
JF ni shida jamani, mwenzenu anaomba msaada nyie mmemdaka juu kwa juu kwa majibu ya kuvunja mbavu yasiyo na msaada[emoji3]
Hakii nimecheka si kwa hayo majibu

Mwenzetu atakuwa kwenye shock, usawa huu kuuziwa gari hewa ni majanga ujue!
Mshana Jr waeleweshe wadau ilikuwaje watoe mawazo yao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…