pole sana mama, em njoo pm nadhan yale maombi yako yamejibiwaWasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, Nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa. Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu. Wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida. Sasa nifanyeje Niko njia panda. Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu MTU nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Ungekuwa mlokole kweli uliyejengwa katika misingi ya kuomba na kusoma biblia wala hata usingesubiri uambiwe hyo maneno na mchungaji mana biblia yenyewe imekuelekeza hivyo we mtu ....we mtu imani yake haiamini katika ufufuko we we unaamini hivyo je mtafungwa nira moja katu haiwezekani...ila kwa vile mabinti sasa wako desperate na ndoa jua linazidi kuzama si ajabu kusikia umeamia huko ili muweze kuongea lugha moja.Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, Nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa. Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu. Wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida. Sasa nifanyeje Niko njia panda. Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu MTU nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Hakuna ndoa ya muislam na mkristo. Wewe dada utaolewa na huyo muislamu lakini baadaye utakuja kuelewa nini maana ya mausia ya wachungaji wako.Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, Nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa. Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu. Wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida. Sasa nifanyeje Niko njia panda. Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu MTU nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Ulokole siku hizi umekuwa kichaka cha mabinti wasaka waume.....hivi mlokole aliyeiva katika imani anaanzaje mahusiano iwe na mtu wa imani yake au hata wa imani nyingine?...huyu binti kaamua kutuuzia chai tuu na kuchafua imani za watu.Kwanza kabisa dada weye huna dini yeyote ile. Huko kwenye ulokole uliwasindikiza rafiki zako tu. Msichana aliye okoka kamwe hawezi hata kumwangalia huyo muisilamu wako. Kwa sababu hujui hata maana ya ulokole ndo maana unasema ati wazazi hawana shida. Wewe unaolewa pamoja na wazazi wako au unaolewa kwa hao wazazi wake?? Umri wako ni chini ya miaka 8?? Usiwalete wazazi hapo.
Ninachokijua ni kuwa, kama kweli unajijua, utawasikiliza viongozi wako wa kiroho. Namhurumia huyo mchungaji kwani si ajabu kila siku ukikutana na huyo mchumba vyupi lazima vishushwe. Mwisho utaanza kutema mate halafu utauacha huo ulokole kwani kwako hauna faida.
Usiokoke ili uolewe wala usisilimu ili uolewe
Rudi kwenye hoja usipende kuyachokoza mashetani wakati huwezi kuyakemea.Hiyo tafsiri ya mtu asyeamini ni ya uongo. Biblia haijasema mtu asiyeamini ni mwislam au mtu asiyempokea Yesu. Huo ni uongo!
Pia kifo cha msalaba ni laana biblia imesema!
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo yeye hajui hadi apewe mistari ya biblia?. Amekuja kuuliza hapa kiunafiki tu huyu binti si mlokole mdokolewa hata chupi alishavua mbele ya muomani huyu. Asitupotezee muda maana ukweli anaujua na Mungu ndiye atakayeamua juu yake siyo sisi.Kuna ile ruka mkoj* ukanyage mav*
Kama mlokole inakuwaje hukujua hayo ya dini hadi wachungaji wako wakuambie hayo ndio ujiulize?
Kabla ulijisikiaje na kwanini sasa hivi umevurugwa na misimamo ya watu ambao pia ni binadamu kama wewe?
Ushauri wangu ni fata hisia zako, kama Mungu kakufikisha ulipo na ulokole ulionao hakuna mwingine wa kuingilia. Sali mwenyewe na muombe Mungu akuongoze katika mipango yako. Hata kwenye TV kuna kusali muhimu ni wewe na imani yako.
Pia waambie unataka mistari ya biblia inayopinga hayo, nasema kwa sababu hata wakristo wanaoana wengine hawajui hata sala ya bwana.
Hilo kanisa ni dhehebu lipi pia?
Basi kuna ukweli fulani mbona wakasirika.Naona unatokwa povu badala ya ushauri, kama vipi pita kimya sihitaji mapovu ila ushauri
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Natamani nikuongezee like, umempa makavu.Ushauri Wangu Ni Hivi Kwa Sasa Hivi Hutaona Uzito Wa Kuwa Nae But Ukishaolewa Nae Hutapata Kile Ulichokitarajia Na Ukumbuke wewe Ndio Unaolewa Ukumbuke Hivi Imani Yake Inamruhusu Kuongeza Wanawake Kama wewe Wa 3 Mpaka 4 Fanya Maamuzi Sahihi
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Pole sana kama umeshauriwa na viongozi wa dini achana naye, achaneni kwa amani mifano ipo mingi sana mwingine alishauliwa na padre akamjibu utanioa wewe baba wa watu agagwaya waliishi miaka 2 na katoto 1 walivyoachana huwezi amini atamshitaki wapi sahizi anajiuza tu wewe kaa chini muombe Mungu atakutua mzigo watu mpaka kufikia ndoa ni kujifunga wewe mshukuru Mungu yawezekana ni tamaa za mwili zina kusukuma hakuna kingineWasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, Nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa. Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu. Wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida. Sasa nifanyeje Niko njia panda. Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu MTU nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Ndo wale wanavalia suruali fupi na kufuga ndevu?
Tafuta wa dini yako over
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Mkuu THT.Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, Nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa. Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu. Wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida. Sasa nifanyeje Niko njia panda. Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu MTU nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
anamtaka yeye[emoji2]Sasa kama wazazi hawana shida.. Huyo mchungaji inamuuma nin?
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app