Hiki kisingizio hakina mantiki, sasa upole na kuchangamana wapi na wapi? Unaweza kuchangamana vizuri na bado ukawa mpolemimi ni mpole sana hivyo mimi kutokua mtu wa kujichanganya sana na watu (watu wangu wa karibu nakosa nguvu ya kuongea nao kwa sababu nisiwaumize).
Kabisa afunguke kwanza ndio tumshauri huwezi mshauri mtu Changamoto ya kiuchumi kumbe shida yake Ni mapenziUngekuwa wazi nini kinakusumbua
Mapenzi?
Pesa?
Bro, nilishapitia vipindi vigumu balaa....kumpoteza mtoto wangu, kumpoteza baba, kumpoteza mama..na wote walifuatana....ndugu wakainuka kwenye Mali... lakini muda huponya...niliamua kumuachia Mwenyezi Mungu tu, niliamua kurelax na kuanza kuishi simple sana..no complications wala nini..huwezi amini nilivuka salama..na life linasonga fresh tuHabari za jioni wana jamii wenzangu.
Naombeni msaada mwenzenu napitia kipindi kigumu sana cha msongo wa mawazo, nahitaji mtu wa kukaa tukaongea tu nimechoka na sasa naogopa kukaa ndani peke yangu. Nilijitahidi nibadilishe mazingira lakini bado hali imegoma kukaa sawa.
Kusali nasali sana na biblia pia nasoma ila baada ya muda mawazo yananirudia, hali hii pia inachagizwa na hulka yangu mimi ni mpole sana hivyo mimi kutokua mtu wa kujichanganya sana na watu (watu wangu wa karibu nakosa nguvu ya kuongea nao kwa sababu nisiwaumize).
Naomba Msaada wa mawazo tafadhali, asanteni sana Mungu awabariki.
Mapenzi noma una stress za mapenzi ? Tuanze hapo kwanzaKusali nasali sana na biblia pia nasoma ila baada ya muda mawazo yananirudia, hali hii pia inachagizwa na hulka yangu mimi ni mpole sana hivyo mimi kutokua mtu wa kujichanganya sana na watu (watu wangu wa karibu nakosa nguvu ya kuongea nao kwa sababu nisiwaumize).
Kujulikana sana pia sio issue sometimes Bora uishi maisha ya low profile underground chini chini wakikujua sana hawachelewi kukudharauWatu amabao hawana kampani au close friends mara nyingi ni wabinafsi,wajivuni,wasiotaka kusikiliza wengine yaani hawana empathy ,wajuaji na nk
Kwa kujifanya at ni introvert
Mkuu kama huna uelewa wa jambo kimya ni busara zaidi. Tumeumbwa tofauti, ukiweza kushauri sawa huwezi mute. Situation anayopitia mkuu inahitaji faraja na si kubezaWatu amabao hawana kampani au close friends mara nyingi ni wabinafsi,wajivuni,wasiotaka kusikiliza wengine yaani hawana empathy ,wajuaji na nk
Kwa kujifanya at ni introvert
Watu wanaokufamu ndio wanajua namna ya kudeal na wewe sisi stranger labda tukufanyie motivation tu.
Amani iwe nawe
Ni sawa lakini hakikisha unashiriki ipasavyo kwenye matatizo ya ndugu na maswala ya kijamii unless yawe nje ya uwezo wako.Kujulikana sana pia sio issue sometimes Bora uishi maisha ya low profile underground chini chini wakikujua sana hawachelewi kukudharau
Usimsemee muache aseme mwenyewe ndo maana Ni mesema mara nyingi sio mara zoteMkuu kama huna uelewa wa jambo kimya ni busara zaidi. Tumeumbwa tofauti, ukiweza kushauri sawa huwezi mute. Situation anayopitia mkuu inahitaji faraja na si kubeza
Pole sana, jipe.moyo wa kusonga mbele, hizo dhulma ulizofanyiwa zisikufanye urudi nyuma, bali zikufanye usonge mbrle kwa nguvu ili ujikwamueDhulima na mambo ya kifamilia