Naombeni msaada, mke wangu baunsa ataniua

Naombeni msaada, mke wangu baunsa ataniua

a real man we vip unatuaibisha sana dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake mtafutie bi mdogo heshima itarudi. Laaa ukishindwa mpinge mimba fasta concentration yote itakua ktk tumbo
 
Huwa nikisikia mke anamdunda mume nafurahi sana..keep it up wife!
 
Nimesoma title tu bila kusoma content nimecheka sanaa hahahahaahahaaa :lol: :lol:
 
Kajisalimishe kwa Mjumbe/baloz wa nyumba kumi,Au wazee wa baraza la kata/kijiji wataku sikiliza tu.
 
Hili Bausa lazima litakuwa la kinyakyusa.
Ili usiendelee kupata kichapo, akitoa mkong'oli wewe mwambie mke wangu shikamoo uone kama ataendelea kukukong'oli.
 
Wakuu kuna mmoja wa hivyo namfahamu,sijui ndio mtoa mada!mkuu mke wako anafanyia saloon?
 
Jamani kwa kweli nina hali mbaya,wakati namwoa hakuwa na mwili mkubwa kama alivyo sasa,lakini vilevile sikufikiria kama anaweza kuwa na nguvu kiasi hicho,tatizo lake yeye ni ngumi mkononi,anachokiamua yeye hakuna mjadala ukibisha ngumi mkononi haangalii niko na marafiki zangu au la,kuna siku nilimtishia kumpa taraka akanikwida bahati sana nilipokonyoka na kukimbia,siku ya pili nilkuja na marafiki zangu nikiamini kwamba zoezi litakamilika cha ajabu alitoka ndani na upanga akaanza kutukimbiza marafiki zangu nilio wategemea wakakimbia wote na mimi mwenyewe nikatimka,ilikuwa yapata saa sita,akaanza kuzunguka kijiji kizima huku akitishia kwamba leo nikiwakamata ama zao ama zangu,lakini ktk kututafuta akakutana na mmoja wetu akaanza kumfukuza mpaka kijji jirani.utata uliisha pale nilipomwomba radhi na kuridhia .zilipita siku kadhaa tu nilimkamata ugoni lakini alinijibu kwamba kinachoniuma ni nini wakati ametumia mali yake na wala hajatumia mali yangu,mbaya zaidi ananiambia nikimwacha atanifanyia kitu mbaya
mkuu hujaamua mvutie upepo andaa mpini kma futi 4 mkorofishe akileta ngumi tu mzibue mgongon ila usiue nakwambia atashika adabu yake
 
Utunzi ni kipaji,na si kila mtu alipewa!
 
mkuu hujaamua mvutie upepo andaa mpini kma futi 4 mkorofishe akileta ngumi tu mzibue mgongon ila usiue nakwambia atashika adabu yake

hofu yangu akifanikiwa kuninyang`anya sijui nitakimbiaje!!
 
Hili Bausa lazima litakuwa la kinyakyusa.
Ili usiendelee kupata kichapo, akitoa mkong'oli wewe mwambie mke wangu shikamoo uone kama ataendelea kukukong'oli.

mmh,ni afadhari nikimbie
 
hofu yangu akifanikiwa kuninyang`anya sijui nitakimbiaje!!
uwe jasir tu, nachokwambia niliwahi kukishuhudia mama mdogo alikuwa akitandika wanaume balaa mwanaume 4 baada ya kutorizika na manyanyaso cku hiyo alipga bangi zake akampga mpini tangia hapo mama yangu anaheshima wala hajawah kuleta tena nyodo
 
Jamani kwa kweli nina hali mbaya, wakati namwoa hakuwa na mwili mkubwa kama alivyo sasa, lakini vilevile sikufikiria kama anaweza kuwa na nguvu kiasi hicho.

Tatizo lake yeye ni ngumi mkononi,anachokiamua yeye hakuna mjadala ukibisha ngumi mkononi haangalii niko na marafiki zangu au la,kuna siku nilimtishia kumpa taraka akanikwida bahati sana nilipokonyoka na kukimbia.

Siku ya pili nilkuja na marafiki zangu nikiamini kwamba zoezi litakamilika cha ajabu alitoka ndani na upanga akaanza kutukimbiza marafiki zangu nilio wategemea wakakimbia wote na mimi mwenyewe nikatimka.

Ilikuwa yapata saa sita,akaanza kuzunguka kijiji kizima huku akitishia kwamba leo nikiwakamata ama zao ama zangu,lakini ktk kututafuta akakutana na mmoja wetu akaanza kumfukuza mpaka kijji jirani.

Utata uliisha pale nilipomwomba radhi na kuridhia .zilipita siku kadhaa tu nilimkamata ugoni lakini alinijibu kwamba kinachoniuma ni nini wakati ametumia mali yake na wala hajatumia mali yangu,mbaya zaidi ananiambia nikimwacha atanifanyia kitu mbaya.

Hv kumbe JF siku hizi tunadanganyana hv kweli jamani? Mbona story yenyewe kama ya kutunga tunga vile! Haya bana Elvis Msiba na Willy Gamba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom