Habari Ndugu Wana JF.
Mim ni kijana ambae nilihitimu kidato cha sita Mwaka 2010.
Ninaish Mwanza, Kutokana na Tatizo gumu la ukosefu wa ajira,na hali ya ugumu wa maisha iliyokithiri.
Ninaomba sana msaada kwa wale ambao wako mwanza, niweze kupata msaada wa kupata kaz yeyote ili kuweza kujikwamua katika hali ngumu ya maisha inayonikabili.
Nina Moyo wa kujituma na uaminifu.
Lakin pia nina uelewa wa Computer,lesen ya udereva. na pia nina uelewa katika taaluma ya sheria japo bado sijamaliza masomo hayo.
Naombeni sana Watanzania wenzangu,wenye uwezo wa kunisaidia,wanisaidie katika hili.
Natanguliza Shukrani za Dhati.
Mim ni kijana ambae nilihitimu kidato cha sita Mwaka 2010.
Ninaish Mwanza, Kutokana na Tatizo gumu la ukosefu wa ajira,na hali ya ugumu wa maisha iliyokithiri.
Ninaomba sana msaada kwa wale ambao wako mwanza, niweze kupata msaada wa kupata kaz yeyote ili kuweza kujikwamua katika hali ngumu ya maisha inayonikabili.
Nina Moyo wa kujituma na uaminifu.
Lakin pia nina uelewa wa Computer,lesen ya udereva. na pia nina uelewa katika taaluma ya sheria japo bado sijamaliza masomo hayo.
Naombeni sana Watanzania wenzangu,wenye uwezo wa kunisaidia,wanisaidie katika hili.
Natanguliza Shukrani za Dhati.