Naombeni msaada kurudi bongo


Nimekuelewa ndugu,Ila kulala nje duuuhhhh kama alikua anakumbuka ndugu zake am sure kuna watakaombeba 100% especially wakieelewa situation yake....anyway hapa tunafanya brain storming yeye atafanya au kuchukua ushauri unaomfaa
 
Hahaha...ni kweli.

Sijajua nitakaa kwa muda gani.

Ila unaweza kukaa huku bado unaconnection ya kutosha na bongo. Kuna wale wakishaondoka ndiyo wameondoka hawa ndiyo huchanganyikiwa.
 
Usd 1800. Tangu 1992. Mkuu unaonekana umekula sana bata uko ughaibuni. Back to topic.. hiyo hela ni ndogo sana kuja kuanza upya huku. Tena sasahiv pale magogoni yupo jamaa mmoja anajiita jiwe aka kichaa.. no wonder wakakunyanganya hizo dola 1800 zako wakakuambia ulipie faini ya kukimbia nchi yako
 
Dola 1800 ni hela nyingi sana ila tu kama utarudi na malengo na uache kuishi kama upo ugaibuni, unatakiwa uja uanze stair one, yaan ndo ujifanye upo under 30. Hapo utatoboa ila ukija na mawazo wa kizunguzungu mkuu prepare for impact
 
Gonja, upareni
Asee, Mke wangu ni wa hapo hapo Gonja,
Kwa hiyo mbona unaweza kabisa kuanza maisha mapya. Kwanza Anza kwa kufungua tigopesa ili uzungushe hela ya kuwa wakati unajipanga kulima mpunga, au kwa kupunguza risk unaweza Anza kwa kununua mpunga wakati wa Mavugo then unahifadhi kwa ajili ya kuuza baadaye.
Ni ushauri ambao katoa wife hapa.
Karibu nyumbani mkwe.
 
Hahaha...ni kweli.

Sijajua nitakaa kwa muda gani.

Ila unaweza kukaa huku bado unaconnection ya kutosha na bongo. Kuna wale wakishaondoka ndiyo wameondoka hawa ndiyo huchanganyikiwa.

Labda tujifunze kwenye hili,ukiondoka maintains contact na bongo,Ila simshangai ukiwa ughaibuni na una familia halafu huna kazi proffesional ni vigumu sana kusave pesa...anyway uko ughaibuni ya wapi unialike...πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‰πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…