Naombeni msaada kurudi bongo


HIYO $1800 HUKO INAFANYA NINI? NANI ALIYEKWAMBIA BONGO NI MSITUNI AMBAPO KUNA NYANI?
 
1800 na nauli humo humo bora ubaki hiyo million nne ndugu na unataka maisha ya juu
Utateseka huku
 
Japo ni Mzee Wangu ila 1800 unaomba ushauri kurudi bongo na unachagua maisha
Baki huko huko
 
Kama unarudi unarudi wakati mbaya kuna jamaa anaitwa Jei pm.Utakufa kwa stress aisee.Na je upo ugaibuni nchi gani?
 
Bora tu ubaki uolewe huko huko. Ukija bongo hata mwanaume wa kukuoa hutopata maana huku watakuchezea tu kama akina aunt shabani wanavyochezewa.mwishon watakuacha tu maana na umri nao umeenda.we miaka yote unamenya viazi na ndizi una akiba ya usd 1800?

Aiseee..... Wewe ulikuwa kilaza plus plus. Sasa uje bongo unadhani utapata mume kweli?komaa tu hivyo hivyo huko unaweza pata mume kikongqe mwenzio. By the way huku utatengwa pia.
 
Duuuh! Kwa comments hizi za wachangia mada sidhan km atakuja tena huku.
 
Sorry mzee dereva nilitaka kukuambia tu kwa hela uliyonayo bongo hata hiyo nafaka hasa mchele hutakula utakula mihogo na maji kila siku mwisho wa siku utakuwa mnene Kama Kagame.
Huyu huyu PAKA tumjuaye ?
 
Dah ndugu yangu ni bora ukomae tu huko coz hyo pesa utaishia kwenye kilimo
 
daradara ndiyo nini na kukaa kote huko ulayaa. Mfyuuu
 
Huyu bora arudi nyumbani tu na vile amekaa dunia ya kwanza amejifunza mengi akija kutumia kiakili anatoboza tu vzuri Bila shida yoyote kabisa. Kuliko aendelee kuishi kwa tabu
Sure!! Ile kanuni kwamba mjini shule inaweza kumsaidia! Sema dah! Sipati picha anadondoka home halafu ndugu wote wanajua jamaa kadondoka na "Boeing" huku wakiwa na matumaini kitu cha Range na BMW kinadondoka njia panda ya kwenda Zanzibar hivi punde kumbe!!

All in all, kurudi Bongo before it's too late ndo solution kwa sasa! Lakini ningekuwa mimi; ningepambana juani na mvuani... gizani hadi mwangani nipate angalau $5K za kufikia!
 
mimi siogopi maisha nyie vyura, acheni hasira zenu na kunitisha na maisha.
Mwezi February mwaka kesho narudi bongo na pesa hii hii na nitaishi tu.
Na pia mademu wenu nitawagonga.
 
Nyumbani ni nyumbani,kwani sisi tulizaliwa kutoka tumboni mwa mamazetu na pesa?pesa hutafutwa na muda hausimami,kwa uzoefu wangu na maisha ya viwanjani na umri uliokuwa nao nakushauri rudi home anza maisha mapya itawezekana,.kila la kheri.
 
Sikati vitunguu wala maboxi. Naendesha mabasi ya mjini. Kama UDA ya zamani.
Mkuu hata huko kuna aldhi utazikwa tu bola uwatumie kiasi ndugu zako tu. utadhalilika sana ukirudi kwa mtindo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…