BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,043
Wakuu habari zenu,
Kwa wale wataalam wa mambo naomba msada wenu hivi kati ya hizi postgraduate course ipi nzuri ya kusoma naplan nianze mastars next year.
1. Msc in Finance & big data analytics
2. Msc in Financial modeling & optimization
Naombeni msaada na ushauri hapo nisome ipi?
Kwa wale wataalam wa mambo naomba msada wenu hivi kati ya hizi postgraduate course ipi nzuri ya kusoma naplan nianze mastars next year.
1. Msc in Finance & big data analytics
2. Msc in Financial modeling & optimization
Naombeni msaada na ushauri hapo nisome ipi?