Chelian
Senior Member
- Oct 1, 2012
- 107
- 40
...Kuna ndugu yangu anaumwa,
ugonjwa wenyewe ndo umenifanya niombe msaada huku,
kila akifanya mapenzi na mumewe anapata maumivu makali
sana mpaka anashindwa na tumbo linavimba mpaka baada ya muda flan
lakini anaendelea kuwa na maumivu siku nzima au hata wiki,
ameenda hospitali vipimo vinaonyesha ana uvimbe,
ambao pia ni bado mdogo sana,
ushauri wa daktari ni anatakiwa apate ujauzito
ili uvimbe ukue utolewe, au waweza disappear during pregnacy..
sasa atapataje huo ujauzito na wakati hawezi hata kushiriki tendo lenyewe
plz kwa anaejua matatizo haya tusaidie mwanajamii mwenzetu..
ugonjwa wenyewe ndo umenifanya niombe msaada huku,
kila akifanya mapenzi na mumewe anapata maumivu makali
sana mpaka anashindwa na tumbo linavimba mpaka baada ya muda flan
lakini anaendelea kuwa na maumivu siku nzima au hata wiki,
ameenda hospitali vipimo vinaonyesha ana uvimbe,
ambao pia ni bado mdogo sana,
ushauri wa daktari ni anatakiwa apate ujauzito
ili uvimbe ukue utolewe, au waweza disappear during pregnacy..
sasa atapataje huo ujauzito na wakati hawezi hata kushiriki tendo lenyewe
plz kwa anaejua matatizo haya tusaidie mwanajamii mwenzetu..