Ukiwa unatokea wapi kwa mfano?Msaada wenu plz..nataka kwenda
Ukiwa unatokea ubungoUkiwa unatokea wapi kwa mfano?
UbungoUnatokea wapi tumia hata google map epusha usumbufu
we nenda tu hamna shida ila huku no jeshini kuwa makiniMsaada wenu plz..nataka kwenda
Panda gari za kawe au tegeta shukia LugaloUkiwa unatokea ubungo
Bwana mdogo usipate tabuMsaada wenu plz..nataka kwenda
Axant xn mkuu ubarikiweBwana mdogo usipate tabu
Ubungo hapo panda gari za tegeta,bunju n.k
Wambie nashuka lugalo
Hiyo ni kambi ya jeshi hakuna kupotea
Au Sema lugalo hospitali
Ilipo hiyo hospitali ndipo kilipo chuo unachotaka kwenda
Au Google location ya chuo itakuja map ambayo inakupa mwelekeo mpaka unafika chuo
Si unajua simu yake ina GPS ambayo inakupa location
Mara nyingi huwa natumia nikiamua kukwepa usumbufu toka kwa watu wasiopenda kuulizwa
Kila lakheri mkuu
Labda kwa nyongeza tu, ukishuka hapo Lugalo, ni upande wa kulia wa barabara ndiko chuo kilipo,Axant xn mkuu ubarikiwe