High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,086
Mm nafikiri tuitangaze Toyota kuwa ni gari ya taifa
Mm nafikiri tuitangaze Toyota kuwa ni gari ya taifa
Murano umedanganya. Fanya tena utafiti, unless hiyo murano ni special order.
Unayo? Ya mwaka gani 2010 kuendelea au 2010 kushuka chini?Hii sijaiokota mahali....
Nimeprove mimi mwenyewe....
Unayo? Ya mwaka gani 2010 kuendelea au 2010 kushuka chini?
Binafsi mm ni mapenzi sana wa gari za ulaya ila nakubaliana na wewe ndio maana kwangu lazima kuwe na toyota.Hahahahahahah sio Murano tu hata gari yeyote ya ulaya😅 iwe BMW, Audi au Benz unaweza nunua mbichi kabisa kwa 16M au zaidi ukaisajili namba DXZ leo hii!
Kesho Tangaza unaiuza uone kama utapata mtu kakupa hela hio ni 12M! Gari ambayo jana we umeilipia zaidi ya 16M.
Tukikomaa na Toyota tunaonekanaga washamba ila kimsingi brand ya gari unalonunua ina matter sana. Leo hii utasema nanua siuzi ila keshokutwa limetokea janga huna options zaidi ya kuuza gari utafanyaje? IST mtu ananunua 13M anatumia miaka 7 anauza 9M tena habembelezi na akiitangaza asubuhi jioni inaweza isifike biashara inakuwa ishafungwa!
Umenunua gari 30M mwezi wa 11 unataka kuuza mwezi wa kwanza hata 15M tu hupati😅 si ukichaa huo!
Hapana. Fuatilia tu boss. Ulikuza sana.Nyie labda mnaongelea murano ya Cc3500
Boss sijakuza... Nimeprove mwenyewe kwenye gari ya mtu wangu wa karibu...Hapana. Fuatilia tu boss. Ulikuza sana.
Ilikuwa zero Km? Maana from kiwandani tu perfomance ni 9-12km per litre. Hiyo ilifikaje 15km?Boss sijakuza... Nimeprove mwenyewe kwenye gari ya mtu wangu wa karibu...
Toyota ni gari ambayo ilitengenezwa kuhakikisha unatoka point A to B bila matatizo! It won’t break even in very tough terrains. Wajapani hasa Toyota kwenye precision nawakubali kwa kweli! Yani gari iko as practical as it should iwe kwa jua au mvua!Binafsi mm ni mapenzi sana wa gari za ulaya ila nakubaliana na wewe ndio maana kwangu lazima kuwe na toyota.
Naiamini zaidi TOYOTA si kwenye kuuzwa bali hata safarini. Mfano range ni zuri hapa mjini lina status yake na sijui kwa nini ila lina influence sana unapokutana na mtu kufanya biashara mara nyingi inawork endapo unayetaka kufanya nae biashara ataona usafiri wako....... SIJAJUA NI KWA NINI.
ila ukisafiri nalo fuse tu ikikata unalala ilipozimikia.
Toyota ni gari ambayo ilitengenezwa kuhakikisha unatoka point A to B bila matatizo! It won’t break even in very tough terrains. Wajapani hasa Toyota kwenye precision nawakubali kwa kweli! Yani gari iko as practical as it should iwe kwa jua au mvua!
Hawaku focus kuweka so much Gizmos in the car kiasi kwamba zitamletea shida mtumiaji! Ndio maana wanaonekana wapo behind the Europeans makes interms of technology adoption...they take time kuhakikisha hizo teknolojia wakiweka hazitaleta complication.
Mkuu mie pia nali toyota naburuza na haya mamvua madimbwi kibao nawaza je ingekuwa BMW si ningekuwa nishanunua mwamvuli sahizi😅 natembea nao.Kusema ukweli Toyota ni gari ngumu sana nina Corolla G haijawai niangusha huu mwaka wa 7 na bado inadunda tu!View attachment 2039006
Halafu service zake haziumizi kichwa hata kama ni mtu wa kuingiza laki 2/3 frequently yani ukikamilisha service kanadunda tu kenyewe hakanaga shida😅Kusema ukweli Toyota ni gari ngumu sana nina Corolla G haijawai niangusha huu mwaka wa 7 na bado inadunda tu!View attachment 2039006
Ilikuwa zero Km? Maana from kiwandani tu perfomance ni 9-12km per litre. Hiyo ilifikaje 15km?
Halafu service zake haziumizi kichwa hata kama ni mtu wa kuingiza laki 2/3 frequently yani ukikamilisha service kanadunda tu kenyewe hakanaga shida
Kubwa zaidi hako kagari hapo siku ukikwamba hutakosa mil 8.5 ya haraka kanashikilia bei muda mrefu sana kama premio tu!
Mkuu kwenye uhalisia huwa napenda kuwa muwazi tu japo wana wanaponda😅 mie mjerumani labda itokee tu ila huku Toyoda ndio home! Mjerumani nunua kama una hela za kuzidi ila kama raia wa kawaida usikimbilie humo!Mkuu uko sahihi kabisa!!!Yaaani kwenye service ni bei cheee tu hata ukipitiliza service hakina shida.nina bmw 1 series kaka oil filter tu elf 80!najuta kununua hii gari nimetafuta mteja bei hawafiki ila Corolla kila siku watu wanafika dau!View attachment 2039078
Upo sahihi sana.Toyota ni gari ambayo ilitengenezwa kuhakikisha unatoka point A to B bila matatizo! It won’t break even in very tough terrains. Wajapani hasa Toyota kwenye precision nawakubali kwa kweli! Yani gari iko as practical as it should iwe kwa jua au mvua!
Hawaku focus kuweka so much Gizmos in the car kiasi kwamba zitamletea shida mtumiaji! Ndio maana wanaonekana wapo behind the Europeans makes interms of technology adoption...they take time kuhakikisha hizo teknolojia wakiweka hazitaleta complication.
Unaiuza bei gani? Hizi mbona zina wapenzi?Mkuu uko sahihi kabisa!!!Yaaani kwenye service ni bei cheee tu hata ukipitiliza service hakina shida.nina bmw 1 series kaka oil filter tu elf 80!najuta kununua hii gari nimetafuta mteja bei hawafiki ila Corolla kila siku watu wanafika dau!View attachment 2039078
Zina Cc sawa na IST lakini hazina hazina engine sawa.
Hiyo engine ya IST kwa Cc hizo inatumia mafuta vizuri kuliko ya carina sababu ya technology mbalimbali ambazo ni za kisasa zilizopo kwenye IST.
Kuna IST zinakupa mpaka 18km kwa lita. Kitu ambacho huwezi pata kwenye Carina.
Umemshauri vizuri.Mkuu kwenye uhalisia huwa napenda kuwa muwazi tu japo wana wanaponda😅 mie mjerumani labda itokee tu ila huku Toyoda ndio home! Mjerumani nunua kama una hela za kuzidi ila kama raia wa kawaida usikimbilie humo!
Hio gari nimeona watu wameinunua sana yani sikujua ina nini special. Hebu nipe mazuri yake ukiachana na costly maintanance maana kama filter 80K ukinunua na Liqui Moly ya 120K manaake service ya oil na filter kila wakati ni 200K!
Inunue mkuu😅 huenda ni kweli zina wapenzi maana naziona nyingi sana!Unaiuza bei gani? Hizi mbona zina wapenzi?