JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Sawa, na carina mpya highway inakupa ngapi?Kuna murano highway zinakupa 15Km kwa lita...
Sawa, na carina mpya highway inakupa ngapi?Kuna murano highway zinakupa 15Km kwa lita...
Somewhere between 12 mpaka 15Sawa, na carina mpya highway inakupa ngapi?
Nimemshangaa sana huyo bwege! Murano ya 2.5L inatembea 9km/L na ndio mengi yako na hio Engine ukipata la juu ya hapo ndio yale ya 3.0L V6 yanayobwia zaidi!Hapo kwenye murano hapo embu fanya utafiti tena.
Mzee Murano gani hio maana hata mjapani mwenyewe specs zake amei rate kwa 9km/l. Ikizidi hapo labda ifike 11km/l ila hilo la 15 ni uongo wa bei nafuu sanaKuna murano highway zinakupa 15Km kwa lita...
Murano umedanganya. Fanya tena utafiti, unless hiyo murano ni special order.Somewhere between 12 mpaka 15
Jamaa kadanganya,Nimemshangaa sana huyo bwege! Murano ya 2.5L inatembea 9km/L na ndio mengi yako na hio Engine ukipata la juu ya hapo ndio yale ya 3.0L V6 yanayobwia zaidi!
Itakuwa special order from kiwandani murano lenye cc 990.Mzee Murano gani hio maana hata mjapani mwenyewe specs zake amei rate kwa 9km/l. Ikizidi hapo labda ifike 11km/l ila hilo la 15 ni uongo wa bei nafuu sana
Eeh hilo hilo la 3.5L V6 gari zakike kabisa yani nikimuona dume anaendesha Murano namuona Shawty tu😅 mwenye wigi na sun goggles!Jamaa kadanganya,
Halafu sio 3.0l ni 3.5l V6. Yale uliyosemaga ni ya kike😀.
Hahaha we jamaa ni mjinga sana.😂😂Eeh hilo hilo la 3.5L V6 gari zakike kabisa yani nikimuona dume anaendesha Murano namuona Shawty tu😅 mwenye wigi na sun goggles!
Economy ya Murano sio zaidi ya 10km/l
Siwezi endesha hizo gari man😅 hasa kwa kununua! Kuna bitch wangu ana Murano niliendesha for a while ila ni sababu akiwa bwax anakuwa reckless😅huwa namuweka kushoto!Hahaha we jamaa ni mjinga sana.😂😂
Kwa hiyo ukiendesha murano unaingia period sio? Gari hazina jinsia mkuu we endesha hata nissan fairlady hakuna tatizo.
HahahahahaSiwezi endesha hizo gari man😅 hasa kwa kununua! Kuna bitch wangu ana Murano niliendesha for a while ila ni sababu akiwa bwax anakuwa reckless😅huwa namuweka kushoto!
Kuna Murano ya pinki inazunguka mitandaoni kusaka mteja tena ni namba D kabisa ilianza million 9 naona ishafika 6.5m na hamna mtu anaitaka😅Hahahahaha
Sasa ulipoendesha ikawaje? Ulijisikia utofauti wowote? Acha hizo😂😂😂😂😂😂.
Tena ww inatakiwa serikali iingilie kati ulazimishwe kuendesha Murano ya Pinki mwaka mzima.
Kuna moja iliuzwa 3m safiiii, shekhe mmoja analo mpaka leo anadunda nalo mjini ukikutana naye utajua kanunua m20.....Kuna Murano ya pinki inazunguka mitandaoni kusaka mteja tena ni namba D kabisa ilianza million 9 naona ishafika 6.5m na hamna mtu anaitaka😅
Hahahahahahah sio Murano tu hata gari yeyote ya ulaya😅 iwe BMW, Audi au Benz unaweza nunua mbichi kabisa kwa 16M au zaidi ukaisajili namba DXZ leo hii!Kuna moja iliuzwa 3m safiiii, shekhe mmoja analo mpaka leo anadunda nalo mjini ukikutana naye utajua kanunua m20.....
Hizi gari hazina re-sale value. Nunua ili utumie sio uuze. Mm ni shabiki wa watunza magari ila ukweli na uhalisia ni kuwa hazina resale value.
Rav 4 massawe namba C utaiuza kila baada ya mwaka kwa bei ya 9-10m ila Murano mpyaaa ukishanunua kila mwaka utakapoiuza inakata 3-4m
Hahahahahahah sio Murano tu hata gari yeyote ya ulaya iwe BMW, Audi au Benz unaweza nunua mbichi kabisa kwa 16M au zaidi ukaisajili namba DXZ leo hii!
Kesho Tangaza unaiuza uone kama utapata mtu kakupa hela hio ni 12M! Gari ambayo jana we umeilipia zaidi ya 16M.
Tukikomaa na Toyota tunaonekanaga washamba ila kimsingi brand ya gari unalonunua ina matter sana. Leo hii utasema nanua siuzi ila keshokutwa limetokea janga huna options zaidi ya kuuza gari utafanyaje? IST mtu ananunua 13M anatumia miaka 7 anauza 9M tena habembelezi na akiitangaza asubuhi jioni inaweza isifike biashara inakuwa ishafungwa!
Umenunua gari 30M unataka kuuza hata 15M tu hupati si ukichaa huo!
Ipi hii ya 2500cc au 3500ccKuna murano highway zinakupa 15Km kwa lita...
Cc2500Ipi hii ya 2500cc au 3500cc
Mzee Murano gani hio maana hata mjapani mwenyewe specs zake amei rate kwa 9km/l. Ikizidi hapo labda ifike 11km/l ila hilo la 15 ni uongo wa bei nafuu sana