naombeni mnisaidie hili; Nini hadhari ya mwanachuo kukosa kufanya field?

Kuna athari kathaa anayoweza kupata mwanachuo kama atakosa kufanya mazoezi(field practical).

1. kushindwa kufanya kazi kwa umakini pale anapoanza kazi kwa ugeni wa mazingira.
2. kushindwa kutoa ushirikiano mahali pa kazi.
3. Anaweza akafanya uharibifu kwa kutoelewa baadhi mambo muhimu ambayo angejifunza kwenye mazoezi hayo n.k
 
Back
Top Bottom