mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Habari zenu
Katika pilikapilika za biashara zangu kwa bahati mbaya nilichanganyiwa fedha kadhaa halali lakini zilikuwa ni chakavu hivyo kila nliyempa alikuwa anazikataa
Naombeni mnipe taratibu za kubadilishiwa fedha kwa mnaofahamu
Asanteni.
Katika pilikapilika za biashara zangu kwa bahati mbaya nilichanganyiwa fedha kadhaa halali lakini zilikuwa ni chakavu hivyo kila nliyempa alikuwa anazikataa
Naombeni mnipe taratibu za kubadilishiwa fedha kwa mnaofahamu
Asanteni.