- Thread starter
- #21
mimi ni mtoto wa kike wa pili nina dada na wadogo zetu ni wakiume wawili anaye nifuat form four na last born form twoPole sana kaka/dada Shalis........
Nakushauri punguza kwanza munkari manake naona kama una mumnkari mpaka basi........
Ningekupa ushauri kama ningejua we ni mtoto wa kiume au wa kike...