star times wanauza king'amuzi chao 39,000/=(ni offer hadi october) kwa mwezi unalipia 9,000 au 18,000 au 36,000....
ila mi ninaswali moja la nyongeza je kunaving'amuzi vya startimes vinavyo kubali umeme wa D.C?
Habari wakuu!
Nataka kununua king'amuzi kwa ambaye anavitumia naomba anieleze yafuatayo
1) bei ya king'amuzi
2) malipo kwa mwezi
3) idadi ya chanel nitakazoziona
ni Star times, TING, Zuku na vingine kama vipo. Asanteni.
Viwango hivyo vyote unalipia kwa mwezi? Kama ni hivyo kwa nini vitofautiane?
9000 mwezi mmoja
18000 miezi miwili
36000 miezi mitatu
:flypig::flypig::flypig:Asante Dada kwa ufafanuzi.
9000 mwezi mmoja
18000 miezi miwili
36000 miezi mitatu
Mkuu unajaribu kuuliza nini hapa sijakupa uzuri
Ving'amuzi hivi ukisha nunua wewe unakwenda moja kwa moja kwa nyumba yako unachomeka kwa soketi kitu mwake
Nilianza kutumia GTV kabla hawajafilisiwa walikuwa safi sana chaneli za kutosha huduma bora nikahamia DSTV duh huk poa kwenye sports chanel mpaka movie tatizo hawana channel nyingi za Tanzania pili bei zao ni kwa dola 79*1600= kwa mwezi afu ghari. Kwa sasa nimeweka kando natumia EasyTv wako poa sana chanel nyingi za Tanzania na nje pia bei zao kila mmoja anaweza mudu ni Tsh 9000 kwa mwezi. Nimeona kwa startimes scratching sana afu hakuna channel nyingi za tz bei zao ndo Kama alivyotaja hapo juu.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
kuna package mbali mbali za DSTV kuanzia...elfu 16....30 na kitu....40 na kitu.....80....na premium ni laki na 28 elfu.....
bora kama umeamua kupata burudani ni heri ukachukua DSTV....so much more......
Nilianza kutumia GTV kabla hawajafilisiwa walikuwa safi sana chaneli za kutosha huduma bora nikahamia DSTV duh huk poa kwenye sports chanel mpaka movie tatizo hawana channel nyingi za Tanzania pili bei zao ni kwa dola 79*1600= kwa mwezi afu ghari. Kwa sasa nimeweka kando natumia EasyTv wako poa sana chanel nyingi za Tanzania na nje pia bei zao kila mmoja anaweza mudu ni Tsh 9000 kwa mwezi. Nimeona kwa startimes scratching sana afu hakuna channel nyingi za tz bei zao ndo Kama alivyotaja hapo juu.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums