Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,040
Hivi tukisema MTUKUFU tunamaanisha nini?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] mbona sisi tunalitumia kwa binadamu.Mungu
Labda ni miungu watu.[emoji15] [emoji15] [emoji15] mbona sisi tunalitumia kwa binadamu.
Mmmh imebidi niulize nisije nikakaa kusema mtukufu huku sijui maana yakeLabda ni miungu watu.
Nafikiri wanamaanisha muheshimiwa.Mmmh imebidi niulize nisije nikakaa kusema mtukufu huku sijui maana yake
Duh ngoja tuone majibu ya wengineoNafikiri wanamaanisha muheshimiwa.
Majibu mazuri sana na yananifanya nijue maana na matumizi ya neno MTUKUFUneno MTUKUFU ni hali ya kiumbe kuwa na sifa ambazo hakuna kiumbe yeyote mwenye nazo na si mwingine ni MUNGU ALIYE JUU.