Naombeni kuuliza waungwana

Naombeni kuuliza waungwana

xbin40

Member
Joined
Mar 14, 2025
Posts
69
Reaction score
76
Kwa mfano kesho trh 12 June 2025 vijana waliochanguliwa polisi wanatakiwa kureport katika shule ya mafunzo ya polisi pale moshi, nina mwanangu anavigezo na hakubahatika kuchaguliwa, je nikisema nimnunulie requirements zote zinazohtajika waliorodhesha polisi then na yeye akaungane na hao wanaotakiwa kureport je atafukuzwa kambini? Au watampuuza na kumpokea kama mzalendo?

NB: Baada ya vijana kureport makambini kuna baadhi huwa hawafiki na hivyo kupungua idadj ya wanaohtajika.
 
Kwa mfano kesho trh 12 june2025 vijana waliochanguliwa polisi wanatakiwa kureport katika shule ya mafunzo ya polisi pale moshi, nina mwanangu anavigezo na hakubahatika kuchaguliwa, je nikisema nimnunulie requirements zote zinazohtajika waliorodhesha polisi then na yeye akaungane na hao wanaotakiwa kureport je atafukuzwa kambini? Au watampuuza na kumpokea kama mzalendo?

NB: baada ya vijana kureport makambini kuna baadhi huwa hawafiki na hivyo kupungua idadj ya wanaohtajika.
Polisi au JKT?
 
Kwa mfano kesho trh 12 june2025 vijana waliochanguliwa polisi wanatakiwa kureport katika shule ya mafunzo ya polisi pale moshi, nina mwanangu anavigezo na hakubahatika kuchaguliwa, je nikisema nimnunulie requirements zote zinazohtajika waliorodhesha polisi then na yeye akaungane na hao wanaotakiwa kureport je atafukuzwa kambini? Au watampuuza na kumpokea kama mzalendo?

NB: baada ya vijana kureport makambini kuna baadhi huwa hawafiki na hivyo kupungua idadj ya wanaohtajika.
Kwamba walikua wajinga wasimchague au... Uvuvi tu wa kutafuta kazi za kufanya na kupunguza shobo
 
Kwa mfano kesho trh 12 june2025 vijana waliochanguliwa polisi wanatakiwa kureport katika shule ya mafunzo ya polisi pale moshi, nina mwanangu anavigezo na hakubahatika kuchaguliwa, je nikisema nimnunulie requirements zote zinazohtajika waliorodhesha polisi then na yeye akaungane na hao wanaotakiwa kureport je atafukuzwa kambini? Au watampuuza na kumpokea kama mzalendo?

NB: baada ya vijana kureport makambini kuna baadhi huwa hawafiki na hivyo kupungua idadj ya wanaohtajika.
Mkuu.. Ingekuwa ni rahisi ivo basi kila aliependa kutumikia kitengo icho kwa uzalendo kabisa angekuwa anajipeleka..ndio maana kuna kuchaguliwa... 😂😂😂😂 Mpeleke tu akale tifu🤗🤗🤗
 
Kwa mfano kesho trh 12 june2025 vijana waliochanguliwa polisi wanatakiwa kureport katika shule ya mafunzo ya polisi pale moshi, nina mwanangu anavigezo na hakubahatika kuchaguliwa, je nikisema nimnunulie requirements zote zinazohtajika waliorodhesha polisi then na yeye akaungane na hao wanaotakiwa kureport je atafukuzwa kambini? Au watampuuza na kumpokea kama mzalendo?

NB: baada ya vijana kureport makambini kuna baadhi huwa hawafiki na hivyo kupungua idadj ya wanaohtajika.
Ukiweza mbadilishie kozi.. Si kwa ubaya lakini lakini hiyo kazi asipokuwa makini atakaribisha laana kwenye kizazi chake
 
Back
Top Bottom