OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
- Thread starter
- #41
Bila kujua kiarabu siwezi kwenda huko mkuu?Yeah! Huyu kijana ana nia ya dhati kabisa. Sasa kiarabu kinapanda kidogo?
Unaweza safisha vyoo vya stand za huko!
Naposema vyoo some pipo wataponda ila ni vizuri visafi na vifaa vya kusafishia visafi kwa mtanzani utaipenda kazi
Soma kiarabu kwanza
Ufunge zip yako. Kule watu ni wapole sana ke anaweza kunya mbele yako.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app