Njoo gheto basi mtoto mzuri πΉπΉπΉWewe ni ndume iliyokomaa haswa , uchebe hadi shingoni π
Sema tu huoni huku PM,Kumbe mlishaanzana kutupiana mistari πππ
Kumbe nafaa kuwa mtabiri tambitambi
Ahsante Mungu wangu wamachale , ningepeleka wapi hii sura πNjoo gheto basi mtoto mzuri πΉπΉπΉ
Unaonekana soft sana
Bahati yako ningekupelekea moto mpk ungeasimulia mashost zako πΉπΉπΉAhsante Mungu wangu wamachale , ningepeleka wapi hii sura π
Kumb ndo tabia yaoKaribu mgeni.
Zingatia yafuatayo.
Ukitingozwa jf usikubali, Kuna watu Kama raraa reree ukiwakubalia watamwambia kila mtu.
Matusi hayaruhusiwi humu.
Kuwasema viongozi vibaya marufuku hata ukimuona katibu kata amelewa anavua nguo hadharani, mezea.
Lugha inayotumika Ni kiswahili.
La muhimu zaidi, Ni marufuku kuwatania wapare hata ukimuona ameagiza chai nusu na andazi moja.
πππ Kikubwa nachoshukuru nimeshtukaBahati yako ningekupelekea moto mpk ungeaimulia mashost zako πΉπΉπΉ
Sasa gheto unakuja saa ngapi??
Huyo nilishamjua kitambo mimi code ndogo km hizi zinanishindaje? Mimi mama wa codes kuna mtu alikuja pm akajichekesha mi namchora tyuu.!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeyeee,
Ila wifi una hekaheka muda wa kumpetipeti mume ndoa changa weee upo jf πΉπΉπΉKumb ndo tabia yao
Mara nyingi id za ke zinazojitambulishaga kama hivi huwa ni za me.Umeisha puyanga tayari. WTF Jomonππ
Wewe mwenyewe ni me pure.. uchebe hadi mgongoniMara nyingi id za ke zinazojitambulishaga kama hivi huwa ni za me.
Ndio ndio, vipi unatafuta mume?Wewe mwenyewe ni me pure.. uchebe hadi mgongoni
Na wanaspeed kubwa sasahiv. Tangu wasikie Max anatulipa allowanceπMara nyingi id za ke zinazojitambulishaga kama hivi huwa ni za me.
Ndio vijimambo vya jf ndgu, inabidi uzoee na kubalance shobo laa sivyo, utapigwa na kitu kizito ππ.Mara nyingi id za ke zinazojitambulishaga kama hivi huwa ni za me.
Kweli kabisaJf ina vituko sana hii.
Kuna siku nilipigwa ban, nikapewa id ya kike nitumie ila ilikuwa inatumiwa na mwanaume. Huko pm sasa nilichekaaaa!! Watu wamejimaliza balaaπ€£π€£π€£Ndio vijimambo vya jf ndgu, inabidi uzoee na kubalance shobo laa sivyo, utapigwa na kitu kizito ππ.
HahhaNjoo PM nikuelekeze jomoni
Nimecheka hadi watu wanashangaa, huyu ni member mzoefu humu, kaja na new ID tu. HahaSio nyamwi huyu anatupima? πΉπΉπΉ