Yapo kazini kama kawaida mkuu,Kariakoo daily mizigo inaingia.Kaka sahv kidogo corona imestop haya yote kwa ndege ni shirika gani wako poa?
Hao Silent Ocean wanaangalia ukubwa wa mzigo ( Size ).Kweli?
Nimeisave hii kwa reference zangu thanks mkuuHao Silent Ocean wanaangalia ukubwa wa mzigo ( Size ).
Yaani unapima:
ZIDISHA: Urefu^Upana^Kimo= Ukubwa Wa Mzigo Wako Kulingana Na Utakavyofungwa.
Ukiona hao Silent Ocean wanakuzingua.
Nenda: GNM Cargo.
Na wao wakizingua, nenda Mokha Agency.
Hao wote wanasafirisha kwa MAJI na kuupata mzigo wako ni siku 28-32.
Note.
Kama mzigo wako ni mwepesi sana na unautaka haraka, tumia ndege ni siku 3-5.
Hapa ndio wanaingia DHL, USPS, EMS
Ingawa inatafuna faida kama unafanya biashara, maana bei zao ni kubwa: Ni 1KG-2KG Kwa 10USD.
Best of Luck
Hao Silent Ocean wanaangalia ukubwa wa mzigo ( Size ).
Yaani unapima:
ZIDISHA: Urefu^Upana^Kimo= Ukubwa Wa Mzigo Wako Kulingana Na Utakavyofungwa.
Ukiona hao Silent Ocean wanakuzingua.
Nenda: GNM Cargo.
Na wao wakizingua, nenda Mokha Agency.
Hao wote wanasafirisha kwa MAJI na kuupata mzigo wako ni siku 28-32.
Note.
Kama mzigo wako ni mwepesi sana na unautaka haraka, tumia ndege ni siku 3-5.
Hapa ndio wanaingia DHL, USPS, EMS
Ingawa inatafuna faida kama unafanya biashara, maana bei zao ni kubwa: Ni 1KG-2KG Kwa 10USD.
Best of Luck
Huyo atakuwa nshomile. Wabongo bhana.Mkuu si umweleweshe vizuri tu? Mambo ya shule yanatoka wapi tena? Kama hajasoma je? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Wana ofisi DSM?
😃😃😃😃😃😃😃😃Huyo atakuwa nshomile. Wabongo bhana.
Hao mika agency na GNM wanakutikana wapi?Hao Silent Ocean wanaangalia ukubwa wa mzigo ( Size ).
Yaani unapima:
ZIDISHA: Urefu^Upana^Kimo= Ukubwa Wa Mzigo Wako Kulingana Na Utakavyofungwa.
Ukiona hao Silent Ocean wanakuzingua.
Nenda: GNM Cargo.
Na wao wakizingua, nenda Mokha Agency.
Hao wote wanasafirisha kwa MAJI na kuupata mzigo wako ni siku 28-32.
Note.
Kama mzigo wako ni mwepesi sana na unautaka haraka, tumia ndege ni siku 3-5.
Hapa ndio wanaingia DHL, USPS, EMS
Ingawa inatafuna faida kama unafanya biashara, maana bei zao ni kubwa: Ni 1KG-2KG Kwa 10USD.
Best of Luck
OK ngoja nasi tujisigezeHao Silent Ocean wanaangalia ukubwa wa mzigo ( Size ).
Yaani unapima:
ZIDISHA: Urefu^Upana^Kimo= Ukubwa Wa Mzigo Wako Kulingana Na Utakavyofungwa.
Ukiona hao Silent Ocean wanakuzingua.
Nenda: GNM Cargo.
Na wao wakizingua, nenda Mokha Agency.
Hao wote wanasafirisha kwa MAJI na kuupata mzigo wako ni siku 28-32.
Note.
Kama mzigo wako ni mwepesi sana na unautaka haraka, tumia ndege ni siku 3-5.
Hapa ndio wanaingia DHL, USPS, EMS
Ingawa inatafuna faida kama unafanya biashara, maana bei zao ni kubwa: Ni 1KG-2KG Kwa 10USD.
Best of Luck
Hiyo Dollar 10 ina comprise na importTax??Hao Silent Ocean wanaangalia ukubwa wa mzigo ( Size ).
Yaani unapima:
ZIDISHA: Urefu^Upana^Kimo= Ukubwa Wa Mzigo Wako Kulingana Na Utakavyofungwa.
Ukiona hao Silent Ocean wanakuzingua.
Nenda: GNM Cargo.
Na wao wakizingua, nenda Mokha Agency.
Hao wote wanasafirisha kwa MAJI na kuupata mzigo wako ni siku 28-32.
Note.
Kama mzigo wako ni mwepesi sana na unautaka haraka, tumia ndege ni siku 3-5.
Hapa ndio wanaingia DHL, USPS, EMS
Ingawa inatafuna faida kama unafanya biashara, maana bei zao ni kubwa: Ni 1KG-2KG Kwa 10USD.
Best of Luck
No.Hiyo Dollar 10 ina comprise na importTax??
Kwahyo ukifika mzgo unakutana na nyundo ya Tax[emoji13]