naombeni duka linalouza iphone og

Wao Nchi ikiwa masikini hawafungui istore wanaamini hatuwezi kumudu hizo simu sema mimi sipo huko kwenu nipo na Samsung bhana ingawaje nao ni wale wale tu..
Wanatudharau sana! Kwahiyo hata haya maduka yao huku ni mchina anatupa ujeuri tu😁
 
Wanatudharau sana! Kwahiyo hata haya maduka yao huku ni mchina anatupa ujeuri tu😁
Sema China nao wana istore maana wana soko kubwa sana pale hata ukienda China kukuta used iPhone mwisho 15 ukiipata 16 au 17 jua ya kuchovya hiyo..
Ila kwenye istore shop wanazo zote mpaka 17 pro..
 
Sema China nao wana istore maana wana soko kubwa sana pale hata ukienda China kukuta used iPhone mwisho 15 ukiipata 16 au 17 jua ya kuchovya hiyo..
Ila kwenye istore shop wanazo zote mpaka 17 pro..
Wako vizuri

Ila ndio wanatupa tunachostahili (for export only)😅
 
iPhone fake ndiyo ipoje, yaani 17 imetoka karibuni ila ukiikuta kwa Mudi matelephone ikiwa na box lake tayari ni fake?.

Je, hawa wafanyabiashara wa bongo hawawezi kuleta stock mpya kabisa kutoka kwa apple wenyewe?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…