Wao Nchi ikiwa masikini hawafungui istore wanaamini hatuwezi kumudu hizo simu sema mimi sipo huko kwenu nipo na Samsung bhana ingawaje nao ni wale wale tu..
Sema China nao wana istore maana wana soko kubwa sana pale hata ukienda China kukuta used iPhone mwisho 15 ukiipata 16 au 17 jua ya kuchovya hiyo..
Ila kwenye istore shop wanazo zote mpaka 17 pro..
Sema China nao wana istore maana wana soko kubwa sana pale hata ukienda China kukuta used iPhone mwisho 15 ukiipata 16 au 17 jua ya kuchovya hiyo..
Ila kwenye istore shop wanazo zote mpaka 17 pro..