Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 213
Hi
Habari zako
Nafikiri wewe ni mzima au sio
Mimi pia ni mzima sana hapa nilipo maisha yangu ni kawaida tu ila kwa sasa hivi naiona dunia sasa hivi kama chungu hivi , nilizoea kuwa na furaha na kujinafasi lakini ghafla naona mambo yanakuwa mchanganyiko
MAMBO YENYEWE
Tumekuwa tukigombana na mambo kama hayo ambayo ni ya kawaida lakini haswa zaidi ni kuhusu yeye mwenyewe kuwa msiri katika mambo yake na vitu vyake vingine ambavyo mimi kama mpenzi wake nilitakiwa kujua lakini hakupenda kuniambia wala nini ingawa nilikuwa namsaidia na kujaribu kuwa nae karibu zaidi .
Sasa hivi amegraduate ameniambia tuachane sababu kubwa ni kwamba yeye ni muisilamu na wazazi wake hawapendi mtoto wao awe na mpenzi ambaye sio muisilamu wakati mimi nachojua yeye ni mkristo na wadogo zake wote ni wakristo hata kwa majina na kadhalika .
Balaa zaidi jana usiku niliambiwa kwamba yeye ana mtoto ambaye yuko mkoani mbeya mwaka kesho ndio anaanza masomo hapo ndio nilichanganyikiwa kabisa kwa sababu hakuwahi kuniambia kuhusu kisa hichi
Ndio nikakumbuka kumbe pesa alizokuwa anatak kwangu kupeleka kwa bibi yake kumbe ni kwa ajili ya mtoto wake ambaye mimi simjui na sijawahi kupewa taarifa , kumbe anavyoniambia niwe mbali na ndugu zake ni kwa kuogopa wataniambia ukweli wake kuhusu mtoto wake na vijimambo vyake vingine
Unaonaje hapa kaka je niachane nae au nifanye nini manake niko nae kwa mwaka mzima sasa , nimepigania nae maisha mpaka sasa hivi na tumekuwa tukifurahi na hata wazazi wangu wanamjua
What should i do ¿
Naomba ushauri
Habari zako
Nafikiri wewe ni mzima au sio
Mimi pia ni mzima sana hapa nilipo maisha yangu ni kawaida tu ila kwa sasa hivi naiona dunia sasa hivi kama chungu hivi , nilizoea kuwa na furaha na kujinafasi lakini ghafla naona mambo yanakuwa mchanganyiko
MAMBO YENYEWE
Tumekuwa tukigombana na mambo kama hayo ambayo ni ya kawaida lakini haswa zaidi ni kuhusu yeye mwenyewe kuwa msiri katika mambo yake na vitu vyake vingine ambavyo mimi kama mpenzi wake nilitakiwa kujua lakini hakupenda kuniambia wala nini ingawa nilikuwa namsaidia na kujaribu kuwa nae karibu zaidi .
Sasa hivi amegraduate ameniambia tuachane sababu kubwa ni kwamba yeye ni muisilamu na wazazi wake hawapendi mtoto wao awe na mpenzi ambaye sio muisilamu wakati mimi nachojua yeye ni mkristo na wadogo zake wote ni wakristo hata kwa majina na kadhalika .
Balaa zaidi jana usiku niliambiwa kwamba yeye ana mtoto ambaye yuko mkoani mbeya mwaka kesho ndio anaanza masomo hapo ndio nilichanganyikiwa kabisa kwa sababu hakuwahi kuniambia kuhusu kisa hichi
Ndio nikakumbuka kumbe pesa alizokuwa anatak kwangu kupeleka kwa bibi yake kumbe ni kwa ajili ya mtoto wake ambaye mimi simjui na sijawahi kupewa taarifa , kumbe anavyoniambia niwe mbali na ndugu zake ni kwa kuogopa wataniambia ukweli wake kuhusu mtoto wake na vijimambo vyake vingine
Unaonaje hapa kaka je niachane nae au nifanye nini manake niko nae kwa mwaka mzima sasa , nimepigania nae maisha mpaka sasa hivi na tumekuwa tukifurahi na hata wazazi wangu wanamjua
What should i do ¿
Naomba ushauri