Nenda rau tafuta room ya Bei cheap utapataNipo third year mkuu,kcmc
PoapoaSawa mkuu,nitatafuta.
Japo Rau Kuna umbali ila nitafwatilia
Sasa mbususu za huo atazilaje kama gheto sio zuri? Pamoja na kutafuta aishi piaUnakaa chumba cha gharama sana wakati unajitafuta tafuta room ya 30k wewe ipambe vizuri usipende raha wakati wa kujitafuta
Tafuta kazi hata za vibaruaMkuu unalaumu tu,kupata hizo room za 30k sio rahisi.
Nilizitafuta sana
Well saidUmekosa ushauri wa maana hadi unamwambia alete ubabe kwenye nyumba ya watu? Kwani kusubiria boom ndo kuhalalisha kukaa kwenye nyumba ya watu huku unadaiwa kodi?
Ushauri mzuri ni kujishusha na kujaribu kuomba ukijifanya mbabe kwenye nyumba ya watu utaondolewa tu, na kisheria ana haki ya kuzuia vitu vya ndani vya jamaa ikiwa vitu hivyo vinalingana thamani na pesa anayomdai.
Kwahiyo usimshauri kumwaga petrol juu ya moto.
Duh!!!Sawa,lakini kwa muda huu na mitihani sio rahisi mkuu