Mimi ni mkazi wa morogoro.nina viwanja viwili ,vyote vina ukubwa wa ekari moja kila kimoja.kimoja kipo karibu na mjini na kingine mbali kutoka mjini.sina pesa ya kujenga nyumba kwenye viwanja hivi na sitaki kuviuza.je ni shughuli gani nifanye kwenye viwanja hivi ili ziongeze pato langu kiuchumi?