kuna msichana mmoja she is my best friend, ila nimeanza kumpenda kutokana na tabia pamoja na uzuri wake ,tumefahamiana ni zaidi ya mwaka ,ila kumueleza hisia zangu kwake nimeshindwa kabisa ,nimeamua kuja kwenu wana jf nifanyeje?
kuna msichana mmoja she is my best friend, ila nimeanza kumpenda kutokana na tabia pamoja na uzuri wake ,tumefahamiana ni zaidi ya mwaka ,ila kumueleza hisia zangu kwake nimeshindwa kabisa ,nimeamua kuja kwenu wana jf nifanyeje?
unataka tuwe makuwadi wako??? Mimi siwezi kutumika maana sijajua kama nia yako ni ovu au njemakuna msichana mmoja she is my best friend, ila nimeanza kumpenda kutokana na tabia pamoja na uzuri wake ,tumefahamiana ni zaidi ya mwaka ,ila kumueleza hisia zangu kwake nimeshindwa kabisa ,nimeamua kuja kwenu wana jf nifanyeje?
Una umri gani kwani?
Bway kwanza kuna mambo ambayo unatakiwa kujua kabla hujamtamkia,kuna msichana mmoja she is my best friend, ila nimeanza kumpenda kutokana na tabia pamoja na uzuri wake ,tumefahamiana ni zaidi ya mwaka ,ila kumueleza hisia zangu kwake nimeshindwa kabisa ,nimeamua kuja kwenu wana jf nifanyeje?
Mapenzi huharibu urafiki. Bora umpende mtu asie rafiki yako hata mkishindwana unatupa kuleeeeeeee! Yaani urafiki uje kwa ajili ya mapenzi. Mtizamo wangu lakini