chopeko
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 1,527
- 1,112
Mueleze ukweli2 usiogope kujibiwa vibaya huenda nayeye anakupenda anasubiria uanze jitose kijana.
do i know you?
Mueleze ukweli2 usiogope kujibiwa vibaya huenda nayeye anakupenda anasubiria uanze jitose kijana.
kuna msichana mmoja she is my best friend, ila nimeanza kumpenda kutokana na tabia pamoja na uzuri wake ,tumefahamiana ni zaidi ya mwaka ,ila kumueleza hisia zangu kwake nimeshindwa kabisa ,nimeamua kuja kwenu wana jf nifanyeje?
Mnywee tu huyooo utoe 'soni' kwani naliona kama ndo tatizo lako🙂. Halafu anza 'kutapika' sera zako kwa uwazi na ukweli..lol Wee una tatizika hapo lakini kazi yenyewe yaweza kuwa nyepesi dezaini kama ya kumsukuma mlevi🙂.
Hivyo Ikiitika Bingo!. Na akitoa nje singizia kuwa jana maji yalikuzidi kimo na jifanye unailaani 'Chupa' kwa nguvu zote🙂 Maisha yataendelea lakini message sent🙂 na yeye pia lazima apate 'nightmares' tu juu yako...Na akikutazama atakuwa hakumalizi shujaa wewe🙂
Note: The testimony is available on request🙂