Wakubwa,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2021,
Nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar Es salaam, katika shahada ya kwanza ya POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION, Ambayo ada yake ni Tsh 1.3 milion,
Kama mnavyojua maajabu ya mwaka huu wa bodi ya mikopo wamenilipia tsh 400500 tu, yaan kama 900k natakiwa kulipa mwenyewe,
Kiukweli hali ya famili sio nzuri sana kwa sasa,
Nilichokuwa nawaza atleast nisome course yenye ada ndogo, ya hapo Hata uwalimu japokuwa sio ndoto yangu kabisa, ambayo ada ni 1milion,
Naombeni ushauri ndugu zangu nifanyaje ???
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2021,
Nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar Es salaam, katika shahada ya kwanza ya POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION, Ambayo ada yake ni Tsh 1.3 milion,
Kama mnavyojua maajabu ya mwaka huu wa bodi ya mikopo wamenilipia tsh 400500 tu, yaan kama 900k natakiwa kulipa mwenyewe,
Kiukweli hali ya famili sio nzuri sana kwa sasa,
Nilichokuwa nawaza atleast nisome course yenye ada ndogo, ya hapo Hata uwalimu japokuwa sio ndoto yangu kabisa, ambayo ada ni 1milion,
Naombeni ushauri ndugu zangu nifanyaje ???