NAOMBA USHAURI WAKO KWA HILI

NAOMBA USHAURI WAKO KWA HILI

tembophd

Senior Member
Joined
Jun 3, 2016
Posts
113
Reaction score
34
Habari gani wakuu......
Kwanza poleni kwa majukumu...Mimi ni mwanachuo Dodoma lakini nina wazo la kilimo pia..

Ninawazo la kukodi shamba mpanda kwa ajili ya kilimo cha Mpunga.
Naomba ushauli wenu wa aina yeyote unao usu Hichi..
Natanguliza shukrani.......
Nawasilisha
 
daah Mkuu mambo ya kilimo yana changamoto nyingi.

kwa sasa nakushauri uzingatie masomo uweze kufaulu vizuri. mambo ya kilimo njoo yajaribu ukiwa hauna ishu. maana kwa sasa yatakuvurugia mambo yako na Mwishowe "utakosa Mwana na maji ya moto" natumai umeelewa vizuri. Soma kwanza mengine yatafata
 
daah Mkuu mambo ya kilimo yana changamoto nyingi.

kwa sasa nakushauri uzingatie masomo uweze kufaulu vizuri. mambo ya kilimo njoo yajaribu ukiwa hauna ishu. maana kwa sasa yatakuvurugia mambo yako na Mwishowe "utakosa Mwana na maji ya moto" natumai umeelewa vizuri. Soma kwanza mengine yatafata
Asante sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom