George Barran
JF-Expert Member
- Sep 2, 2015
- 635
- 1,244
Wajuvi wa mambo ya mahaba nisaidie Tafadhali maana nimeshaimbisha sana kwa manzi flani lakini naambulia patupu.
Ingawa ana viashiria flani Kama vya kunikubali but ninapoimbisha anasema ana mtu wake, ni demu flani nilianzisha urafiki kabla baada ya muda nikaamua nimfungukie ila ananiwekea kikwanzo kwamba yupo kwenye mahusiano tayari.
Sasa Kuna idea imekuja kichwani mwangu kwamba nimtumie ngoma flani kali ya mahaba ya kumshawishi kisaikolojia nisaidieni ni nondo gani Kali inaweza kumfikilisha uyu mwali akanikubali mwamba.
NB: Sihitaji ushauri wowote kuhusu pesa.
Ingawa ana viashiria flani Kama vya kunikubali but ninapoimbisha anasema ana mtu wake, ni demu flani nilianzisha urafiki kabla baada ya muda nikaamua nimfungukie ila ananiwekea kikwanzo kwamba yupo kwenye mahusiano tayari.
Sasa Kuna idea imekuja kichwani mwangu kwamba nimtumie ngoma flani kali ya mahaba ya kumshawishi kisaikolojia nisaidieni ni nondo gani Kali inaweza kumfikilisha uyu mwali akanikubali mwamba.
NB: Sihitaji ushauri wowote kuhusu pesa.