the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 760
- 920
Mkuu utakuwa ulitumia Clone ila kama ni Samsung kweli haiwezi kuwa na shida ya network badilisha line.Kwa samsung A series hapana network yaraka uwe karibu na mnara yaani mjini tu lkn ukienda mbali aisee kobe akasome