t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,375
- 14,780
Unataka specs zipi labdaSawa mkuu nitajaribu kuitafuta nione kama itanifaa
Unataka specs zipi labdaSawa mkuu nitajaribu kuitafuta nione kama itanifaa
Mahitaji yako ni basic sana jaribu xiaomi redmi 9 ,@3gb ram 64gb rom and 5020mah battery, bein ya leo ni 293000 AliExpressNataka iwe na perfomance nzuri,storage angalau kuanzia GB32.
Habari wakuu,
Ninataka kununua simu yenye perfomance nzuri, camera nzuri kwa badget ya 350,000 tu.
Brand nataka iwe samsung au iphone.
Cheki Lenovo v7 ni kali sana
Hakuna kitu kama hicho zingatia model uliotajiwa vizuriHii nimeangalia mpaka ifike bongo ni kama 625,000
Habari wakuu,
Ninataka kununua simu yenye perfomance nzuri, camera nzuri kwa badget ya 350,000 tu.
Brand nataka iwe samsung au iphone.
CHIEF MKWAWA
Hapo kwenye brand umeyumba.
Wakuu mimi naomba kusaidiwa kwa brand yoyote kwa pesa hio!
Kuanzia GB 64 storage.
Kaka redmi 9 kwa 360 pole sana au niseme umepigwaNimepokea redimi 9 Jana kwa 360k
Kapigwa boss na hii ndio tabia ya vijana wetu wengi wakiwa nje wanawaliza watu, hapo ulikua unapata kabisa note 8 tena gb 64 na earphone juu na chenji kabisa kwa bei ya China.Redmi 9 kwa kenya ni as cheap as 280,000 kwa 3gb/32gb version na 320,000 version ya 4gb/64gb
Kapigwa boss na hii ndio tabia ya vijana wetu wengi wakiwa nje wanawaliza watu, hapo ulikua unapata kabisa note 8 tena gb 64 na earphone juu na chenji kabisa kwa bei ya China.