Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
Simu ya walalahoi hiyo, simshauri anunueSamsung hapo utapata A10s
Simu ya walalahoi hiyo, simshauri anunueSamsung hapo utapata A10s
A10s kwa 540 ?Nimeenda mlimani city duka la samsung wanauza 540
Samsung A10s haina uzuri wowoteUnashangaa nn! Si unataka vitu vizuri vigaramie
Oky kwasasa inauzwaje hii simu
Simu ya walalahoi hiyo, simshauri anunue
+1Hapo kwenye brand umeyumba.
Wakuu mimi naomba kusaidiwa kwa brand yoyote kwa pesa hio!
Kuanzia GB 64 storage.
Brand kubwa ili upate specs nzuri inabidi utoboke mifuko, they are not cheap,Hizo brand naona ni nzuri kwangu,nimetumia brand nyingi lkn sikuzifurahia sana, hizo ndio nimeona bora kwangu.
Mhh mbona ghali sana ? A10 Kama sikosei ni wastani wa 250000 kariakoo. maana hata USB yake ni type BNimeenda mlimani city duka la samsung wanauza 540
Hiyo A series naona Samsung alitaka tu kundraw attention ya sie walalahoi, Mana specs haziendani na software, nna A 20, nilipo I load na programs tu ikaanza ku freeze ,Sio kweli ni simu tu ndo majanga, inakuwaje the same sim card nakula H++ hadi 4G kwa noki lkn nkiitia ktk amsung A series (10,20,50) mwendo wa kinyonga hata hyo H kushika ni kwa sekunde kadhaa tu. eneo likiwa lilelile???!
Oppo sijawahi kutumia maana hata madukani sizioni au mpaka niagize online,nimetumia Tecno,huawei,samsung,iphone,nokia.Brand kubwa ili upate specs nzuri inabidi utoboke mifuko, they are not cheap,
Umetumia brand zipo Kwan mkuu,? Ulishawahi kutumia xiaomi au oppo? Niliwahinkuwa na oppo realme x Ina 4gb ram 64 gb rom , amoled display, in screen fingerprint, pop up front camera ,USB C na ilikuja kwa wastani wa sh290000 tu kutoka china
Habari wakuu,
Ninataka kununua simu yenye perfomance nzuri, camera nzuri kwa badget ya 350,000 tu.
Brand nataka iwe samsung au iphone.
CHIEF MKWAWA
Jaribu oppo au xiaomiOppo sijawahi kutumia maana hata madukani sizioni au mpaka niagize online,nimetumia Tecno,huawei,samsung,iphone,nokia.
540,000 aandaeChukua Oppo A31